Friday , 17 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Silaa atoa siku 90 kwa Katibu mkuu ardhi kupima eneo la Olmoti
Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Silaa atoa siku 90 kwa Katibu mkuu ardhi kupima eneo la Olmoti

Spread the love

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Slaaa amemuelekezw Katibu Mkuu wa wizara yake kuhakikisha Mkurugenzi wa Maendeleo ya Makazi na Mkurugenzi wa Upimaji na Ramani wamefika eneo la Olmoti linalotarajiwa kujengwa Uwanja wa mpira wa miguu wa kisasa Jijini Arusha na kuhakikisha ndani ya kuanzia kesho Juumatatu wanaweka mpango wa upangaji na upimaji wa eneo hilo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).


Waziri Silaa amesema hayo jana Jumamosi wakati wa hafla ya kumkabidhi Mkandarasi eneo la ujenzi wa Uwanja wa Kisasa wa Mpira wa Miguu unaotarajiwa kujengwa eneo  la Olmoti lililopo Jijini Arusha.

Aidha, Waziri Silaa amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara yake kuhakikisha maeneo yote yanayozunguka uwanja huo wa michezo unaotarajiwa kujengwa ni lazima yawe yamepangwa na kupimwa ili kupusha makazi holela na migogoro ya ardhi hapo baadae.

Jerry Silaa

Katika kuhakikisha jambo hilo linakamilika kwa wakati Waziri Silaa ametoa wito kwa Makampuni binafsi yanayojihusisha na kazi za upangaji na upimaji kushiriki katika kazi hiyo ya kupanga na kupima maeneo yote yanayozunguka uwanja huo wa mpira wa miguu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Udhibiti wa serikali wakera asasi za kiraia

Spread the loveBaadhi ya wadau wa demokrasia na viongozi wa asasi za...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Nape aomba bajeti ‘kiduchu’ kwa mwaka 2024/25

Spread the loveWaziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Seneta: Wanasiasa hawasaidii mchakato wa Katiba mpya

Spread the loveSeneta wa jimbo la Busia, nchini Kenya, Okiya Okoiti Andrew...

Habari Mchanganyiko

Wananchi washauriwa kuongeza uelewa wa kujikinga na majanga

Spread the love WITO umetolewa kwa wananchi kuongeza uelewa na utayari kabla...

error: Content is protected !!