Friday , 17 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Jeshi la Polisi laanza uchunguzi wa clip inayosambaa mtandaoni
Habari Mchanganyiko

Jeshi la Polisi laanza uchunguzi wa clip inayosambaa mtandaoni

Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, David Misime
Spread the love

 

JESHI la Polisi limesema limeona video fupi (clip) ikimwonesha Mtoto aliyefanyiwa vitendo vya ukatili na udhalilishaji. Anaripoti Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi, Dodoma … (endelea).

Akitoa taarifa hiyo msemaji wa Jeshi la Polisi Nchini kamishna msaidizi mwandamizi wa Polisi, SACP David Misime amesema Jeshi hilo limeanza kuifanyia kazi kuanzia ilipoanza kusambaa ili aliyefanya kitendo hicho cha kinyama kisichokubalika aweze kukamatwa na hatua zingine za kisheria ziweze kufuata.

Misime ameongeza kuwa mtoto huyo lazima atakuwa na Mama, Babu, Bibi, Shangazi, Mjomba, Majirani na Viongozi wa Serikali za Mitaa ambapo ameomba ushirikiano wa karibu ili hatua za kisheria kisheria zichukue Mkondo wake.

Msemaji wa Jeshi hilo ametoa wito kwa yeyote mwenye taarifa za aliyefanya kitendo hicho au mahari kilipo tokea asisite kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi au kwa Kiongozi yeyote yule ili kufanikisha kukamatwa kwa mtuhumiwa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Udhibiti wa serikali wakera asasi za kiraia

Spread the loveBaadhi ya wadau wa demokrasia na viongozi wa asasi za...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Nape aomba bajeti ‘kiduchu’ kwa mwaka 2024/25

Spread the loveWaziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Seneta: Wanasiasa hawasaidii mchakato wa Katiba mpya

Spread the loveSeneta wa jimbo la Busia, nchini Kenya, Okiya Okoiti Andrew...

Habari Mchanganyiko

Wananchi washauriwa kuongeza uelewa wa kujikinga na majanga

Spread the love WITO umetolewa kwa wananchi kuongeza uelewa na utayari kabla...

error: Content is protected !!