Monday , 20 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Polisi watoa kauli madai mauaji Kibiti kuibuka tena
Habari za Siasa

Polisi watoa kauli madai mauaji Kibiti kuibuka tena

Spread the love

JESHI la Polisi nchini, limewataka wananchi wapuuze madai ya mauaji ya watu wilayani Kibiti Mkoa wa Pwani, kuibuka tena, likisema hali ni shwari. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Taraifa hiyo imetolewa leo na Jeshi la Polisi kuoitia ukurasa wake wa Twitter, baada ya madai hayo kuibuka hivi karibuni Katika Mitandao ya kijamii.

“Jeshi Polisi limekanusha ujumbe unaosambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii na kusema hakuna matukio kama hayo, Kibiti ni shwari na salama. Upuuzeni uzushi huu, pia endeleeni kuwapuuza wasioitakia mema nchi yetu,” imesema taarifa yetu.

Miaka kadhaa iliyopita mauaji ya baadhi ya raia, viongozi wa Serikali za mitaa na Polisi yaliibuka katika wilaya za Mkoa wa Pwani, ikiwemo Kibiti.

Vyombo vya ulinzi na usalama, vilifanikiwa kudhibiti mauaji hayo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Kiongozi Mkuu Iran amteua mrithi wa Rais Ebrahim

Spread the loveKiongozi wa ngazi ya juu nchini Iran, Ayatollah Ali Khamenei,...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Watumishi 85,471 walioenguliwa kipindi cha JPM wapandishwa vyeo

Spread the loveSERIKALI imesema kuanzia mwaka wa fedha 2021/2022 hadi sasa jumla...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

CCM yamteua Pele kuwa mgombea ubunge Kwahani

Spread the loveKamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Ujenzi kituo cha kupoza umeme Chalinze wafikia asilimia 93.7

Spread the loveKamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeeleza...

error: Content is protected !!