Sunday , 19 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Bosi NMB apewa tuzo ya TIOB
Habari Mchanganyiko

Bosi NMB apewa tuzo ya TIOB

Spread the love

Mkurugenzi Usimamizi wa Sekta ya Fedha Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Sadati Musa (kushoto), amemkabidhi tuzo ya ngazi ya juu ya uanachama (TIOB Fellowship), Afisa Mkuu wa Udhibiti wa Benki ya NMB, Doreen Joseph (kulia) kwa niaba ya Afisa  Mtendaji Mkuu NMB, Ruth Zaipuna. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Tuzo hiyo imetolewa na Taasisi ya Wataalamu wa Kibenki (TIOB) kwa wanachama wake.

Ni katika hafla ilikwenda sambamba na mahafali ya 21 ya taasisi hiyo yaliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Dar es Salaam.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

CCM yamteua Pele kuwa mgombea ubunge Kwahani

Spread the loveKamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Canada yatenga bilioni 38 kutekeleza mradi ya kuinua vijana TZ

Spread the loveSERIKALI ya Canada kupitia ‘CARE International Canada’ imetenga takribani Sh...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Ujenzi kituo cha kupoza umeme Chalinze wafikia asilimia 93.7

Spread the loveKamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeeleza...

Habari Mchanganyiko

Balile ateuliwa rais wa wahariri Afrika Mashariki

Spread the loveJumuiya ya Wahariri wa Afrika Mashariki (EAES), imemchagua Mwenyekiti wa...

error: Content is protected !!