Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari Djuma Shaban asalia Yanga kwa mwaka mmoja Zaidi
HabariMichezo

Djuma Shaban asalia Yanga kwa mwaka mmoja Zaidi

Spread the love

 

Mabjngwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara klabu ya soka ya Yanga, imemuongezea mkataba wa mwaka mmoja beki wake wa kulia Raia wa Kidemokrasia ya Congo, Djuma Shabani ambao unamfanya aendelee kusalia ndani ya kikosi hiko hadi 2024. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)

Mchezaji huyo ameongeza mkataba wake hivi karibuni mara baada ya kurejea ndani ya kikosi hiko akitoka mapumzikoni.

Mkaba wa awali wa mchezaji huyo ulikuwa unamalizika kwenye msimu ujoa ambao unatarajia kuanza hivi karibuni, kufuatia kusaini miaka miwili hapo awali.

Tokalipofika nchini 2021, akitokea kwenye klabu ya AS Vita, Djuma amekuwa na msimu mzuri akiwa Yanga na alifanikiwa kuibuka kuwa kinara wa utoaji wa pasi za mwisho (assist).

Pia mchezaji alifanikiwa kuingia kwenye kikosi bora cha msimu, katika tuzo zilizotolewa na shirikisho la mpira wa miguu nchini (TFF) tarehe 7 julai 2022.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!