Saturday , 4 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Samia, Lissu wateta Ubelgiji
Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia, Lissu wateta Ubelgiji

Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassa amekutana na kuzungumza na Makamu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini humo- Chadema, Tundu Lissu. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Wawilli hao wamekutana leo Jumatano, tarehe 16 Februari 2022 nchini Ubelgiji. Rais Samia yupo huko ziarani huku Lissu akiishi huko tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu 2020.

Taarifa ya Zuhura Yunus, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu imesema, Rais Samia amekutana na mwanasiasa huyo ambaye aliomba kumwona kiongozi wake mkuu wa nchi.

Zuhura amesema, Rais Samia na Lissu wamezungumza masuala mbalimbali yenye maslahi mapana ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya afutiwa kesi, ruksa kugombea uongozi

Spread the loveMwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP leo Ijumaa amefuta rufaa...

Habari za Siasa

Serikali yasaka bilioni 3 kujenga daraja Mto Mpiji

Spread the loveSerikali imesema inaendelea na juhudi za kutafuta fedha kiasi cha...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kwafukuta kisa chaguzi, Lissu aibua tuhuma nzito

Spread the loveCHAGUZI za kusaka viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kimbunga “HIDAYA” chaendelea kuimarika, wananchi wapewa tahadhari

Spread the loveMAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa...

error: Content is protected !!