Friday , 3 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa 19 Chadema wapata dhamana
Habari za SiasaTangulizi

19 Chadema wapata dhamana

Spread the love

 

Wanachama 19 wa Chadema mkoani Mwanza, akiwemo Katibu Mkuu wa chama hicho, Kanda ya Victoria, Zacharia Obad, wameachiwa kwa dhamana leo Alhamisi, Agosti 19 baada ya kusomewa shtaka la kufanya fujo kanisani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mwanza … (endelea).

Watuhumiwa hao wamesomewa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza.

Wanachama hao walikamatwa tarehe 15 Agosti 2021 wakiwa katika Kanisa Katoliki Parokia ya Kawekamo jijini humo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya afutiwa kesi, ruksa kugombea uongozi

Spread the loveMwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP leo Ijumaa amefuta rufaa...

Habari za Siasa

Serikali yasaka bilioni 3 kujenga daraja Mto Mpiji

Spread the loveSerikali imesema inaendelea na juhudi za kutafuta fedha kiasi cha...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kwafukuta kisa chaguzi, Lissu aibua tuhuma nzito

Spread the loveCHAGUZI za kusaka viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kimbunga “HIDAYA” chaendelea kuimarika, wananchi wapewa tahadhari

Spread the loveMAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa...

error: Content is protected !!