Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa 19 Chadema wapata dhamana
Habari za SiasaTangulizi

19 Chadema wapata dhamana

Spread the love

 

Wanachama 19 wa Chadema mkoani Mwanza, akiwemo Katibu Mkuu wa chama hicho, Kanda ya Victoria, Zacharia Obad, wameachiwa kwa dhamana leo Alhamisi, Agosti 19 baada ya kusomewa shtaka la kufanya fujo kanisani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mwanza … (endelea).

Watuhumiwa hao wamesomewa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza.

Wanachama hao walikamatwa tarehe 15 Agosti 2021 wakiwa katika Kanisa Katoliki Parokia ya Kawekamo jijini humo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!