Friday , 3 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa CUF ya Malim Seif yajichimbia Zanzibar
Habari za SiasaTangulizi

CUF ya Malim Seif yajichimbia Zanzibar

Maalim Seif na Lipumba
Spread the love

BARAZA kuu la  uongozi la Chama cha Wananchi (CUF), linakutana mchana huu mjini Zanzibar kwa lengo la kujadili mgogoro unaondelea ndani ya Chama hicho, anaandika Hamisi Mguta.

Baraza hilo ambalo ndilo chombo kikuu cha kutoa maamuzi kinatarajia kujadili masuala mbalimbali hususani yanayohusu kuvuliwa uanachama wanane kulikofanywa na mwenyekiti Prof. Ibrahim Lipumba anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa,  Jaji Francis Mutungi.

Wabunge waliotenguliwa nafasi zao ni Severina Mwijage, Saumu Sakala, Salma Mwassa, Riziki Ngwali, Raisa Mussa, Miza Haji, Hadija Al-Qassmy na Halima Mohamed. Wakati huo kesi mbalimbali zilizotokana na Mgogoro baina ya pande hizo mbili zikiwa zinaendelea Mahakamani.

MwanaHALISI Online itakujulisha zaidi kutoka katika  mkutano huo baadaye…..

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya afutiwa kesi, ruksa kugombea uongozi

Spread the loveMwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP leo Ijumaa amefuta rufaa...

Habari za Siasa

Serikali yasaka bilioni 3 kujenga daraja Mto Mpiji

Spread the loveSerikali imesema inaendelea na juhudi za kutafuta fedha kiasi cha...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kwafukuta kisa chaguzi, Lissu aibua tuhuma nzito

Spread the loveCHAGUZI za kusaka viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kimbunga “HIDAYA” chaendelea kuimarika, wananchi wapewa tahadhari

Spread the loveMAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa...

error: Content is protected !!