IKIWA yamebakia masaa machache kabla ya dirisha la usajiri la Ligi Kuu Tanzania Bara pamoja na ligi daraja la kwanza hatimaye klaba ya Yanga imefanikiwa kunasa saini ya kipa Klaus Nkinzi na mshambulia Heritier Makambo ambao wote ni raia wa Congo DRC. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).
Yanga ambayo ilionekana kusuasua hapo awali katika mchakato wa usajili toka dirisha hilo kufunguliwa kutokana na hali ya kiuchumi wanayopitia kwa sasa toka alipojiuzuru mwenyekiti wao na mfadhili mkuu wa klabu hiyo
Wawili hao wanaongeza idadi ya kuwa wachezaji saba mpaka sasa waliosajiriwa na klabu ya Yanga kuelekea msimu mpya wa mashindano wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuanza 23 Agosti, 2018.
Leave a comment