Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Waitara kutikisa Ukonga kesho
Habari za SiasaTangulizi

Waitara kutikisa Ukonga kesho

Mwita Waitara, Naibu wa Waziri wa TAMISEMI
Spread the love

ALIYEKUWA Mbunge wa Ukonga, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mwita Mwaikabe Waitara, kesho Ijumaa, atapokelewa rasmi jimboni humo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Waitara ambaye aliondoka Chadema Jumamosi iliyopita na kujiunga na Chama Cha Mapimduzi (CCM), anatarajiwa kupokelewa kwenye chama chake hicho kipya, kupitia mkutano maalum wa jimbo la Ukonga.

Kwa mujibu wa Waitara, katika mkutano huo, viongozi kadhaa wa Kata na matawi kutoka jimbo la Ukonga na jimbo jirani la Segerea, wanatajiwa kuondoka na Chadema na kujiunga na CCM.

“Kesho ndio naanza kazi rasmi ya kubomoa Chadema pale Ukonga,” amesema Waitara na kuongeza, “Nataka kuwaonyesha kuwa mimi nina watu na kwamba uamuzi wangu wa kuondoka Chadema ulikuwa sahihi.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!