Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Tundu Lissu afunguka Bombardier ilivyokamatwa
Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu afunguka Bombardier ilivyokamatwa

Tundu Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
Spread the love

TUNDU Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amelitaka Bunge kumshitaki Rais Magufuli kwa kusababisha hasara kubwa wakati akiwa waziri, anaandika Hamisi Mguta.

Lissu amesema kuwa Rais Magufuli amefanya mambo mengi bila kufuata sheria ambayo kwa sasa madhara yake ndio yanaanza kuonekana ikiwemo kukamatwa kwa ndege ya Tanzania aina ya Bombardier Q400 nchini Canada kwa kilichoelezwa kuwa ni kutokana na deni.

FUATILIA VIDEO HAPA CHINI TUNDU LISSU ALIVYOELEZWA NAMNA NDEGE HIYO ILIVYOKAMATWA NA SABABU ZA KUKAMATWA KWA NDEGE HIYO.

https://www.youtube.com/watch?v=mZuh-5m6HMY

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!