Friday , 26 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Serikali kugharamia mazishi waliofariki MV Nyerere
Habari MchanganyikoTangulizi

Serikali kugharamia mazishi waliofariki MV Nyerere

Spread the love

SERIKALI imesema itagharamia shughuli za mazishi ya miili ya watu waliopoteza maisha katika ajali ya MV Nyerere iliyotokea juzi tarehe 20 Septemba 2018. Anaripoti Regina Kelvin…(endelea).

Hayo yalisemwa jana tarehe 21 Septemba 2018 na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwele wakati akizungumza na wanahabari kisiwani Ukerewe mkoani Mwanza.

Mhandisi Kamwele amesema utaratibu wa mazishi ikiwemo eneo la mazishi utatolewa baadae na serikali.

Kivuko cha MV Nyerere kilizama katika Ziwa Victori kikitokea Bugorora kisiwani Ukerewe kuelekea Kisiwa cha Ukara.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!