Tuesday , 23 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Serikali kugharamia mazishi waliofariki MV Nyerere
Habari MchanganyikoTangulizi

Serikali kugharamia mazishi waliofariki MV Nyerere

Spread the love

SERIKALI imesema itagharamia shughuli za mazishi ya miili ya watu waliopoteza maisha katika ajali ya MV Nyerere iliyotokea juzi tarehe 20 Septemba 2018. Anaripoti Regina Kelvin…(endelea).

Hayo yalisemwa jana tarehe 21 Septemba 2018 na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwele wakati akizungumza na wanahabari kisiwani Ukerewe mkoani Mwanza.

Mhandisi Kamwele amesema utaratibu wa mazishi ikiwemo eneo la mazishi utatolewa baadae na serikali.

Kivuko cha MV Nyerere kilizama katika Ziwa Victori kikitokea Bugorora kisiwani Ukerewe kuelekea Kisiwa cha Ukara.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia

Spread the loveBENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120...

Habari Mchanganyiko

DC ampongeza Dk. Rose Rwakatare kwa kusaidia waathirika wa mafuriko Mlimba

Spread the loveMWENYEKITI wa Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk.  Rose Rwakatare...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mipango na uwekezaji kutumia bilioni 121.3, mradi wa Bagamoyo wapewa kipaumbele

Spread the loveWIZARA ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, imeliomba Bunge...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mbunge ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

Spread the loveMBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze kasi...

error: Content is protected !!