Friday , 2 June 2023
Home Habari Mchanganyiko Serikali kugharamia mazishi waliofariki MV Nyerere
Habari MchanganyikoTangulizi

Serikali kugharamia mazishi waliofariki MV Nyerere

Spread the love

SERIKALI imesema itagharamia shughuli za mazishi ya miili ya watu waliopoteza maisha katika ajali ya MV Nyerere iliyotokea juzi tarehe 20 Septemba 2018. Anaripoti Regina Kelvin…(endelea).

Hayo yalisemwa jana tarehe 21 Septemba 2018 na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwele wakati akizungumza na wanahabari kisiwani Ukerewe mkoani Mwanza.

Mhandisi Kamwele amesema utaratibu wa mazishi ikiwemo eneo la mazishi utatolewa baadae na serikali.

Kivuko cha MV Nyerere kilizama katika Ziwa Victori kikitokea Bugorora kisiwani Ukerewe kuelekea Kisiwa cha Ukara.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Serikali yakabidhi eneo la mahakama ya Afrika ya haki za binadamu

Spread the loveSerikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...

Habari Mchanganyiko

Udhamini wa NMB mikutano ya ALAT wafikia 1.2 bilioni

Spread the loveBENKI ya NMB imeendelea kufanya kazi kwa karibu na Asasi...

Habari Mchanganyiko

Dk. Gwajima atoa maelekezo kwa maofisa maendeleo nchini

Spread the love  WAZIRI wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia Watoto,...

Habari Mchanganyiko

Kairuki awaweka mtegoni wakurugenzi watakaoshindwa kufikia malengo ya makusanyo

Spread the loveWAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na...

error: Content is protected !!