Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Prof. Majimarefu afariki dunia
Habari za SiasaTangulizi

Prof. Majimarefu afariki dunia

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa pole mbunge wa Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani alipolazwa katika hospitali ya Kairuki, Dar es Salaam
Spread the love

STEVEN Ngonyani aliyefahamika zaidi kwa jina la Profesa Majimarefu, Mbunge wa Korogwe Vijijini (CCM), amefariki dunia leo usiku Jumatatu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Ofisa Uhusiano wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Aminiel Eligaeshi amethibitisha kutokea kwa kifo cha mbunge huyo aliyekuwa amelazwa hospitalini hapo.

Prof. Majimarefu alianza kuugua akiwa bungeni jijini Dodoma tangu mwezi uliopita kabla ya kuhamishiwa Muhimbili Juni 20, mwaka huu. Ugonjwa uliokuwa ukimsumbua mbunge huyo hakikuwekwa wazi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

error: Content is protected !!