Friday , 26 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Polisi wakamata sampuli ya madini
Habari Mchanganyiko

Polisi wakamata sampuli ya madini

Spread the love

JESHI la Polisi mkoani Mwanza linashikilia lori aina ya fuso lililokuwa linasafirisha sampuli za madini 883, zilizowekwa kwenye ndoo 226 kutoka mkoani Geita kuelekea katika maabara ya kupima iliyoko jijini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Shehena hiyo ya sampuli za miamba ya madini 883 kutoka Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM) ilikamatwa jana na askari wa doria.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoani humo, amesema askari hao walikamata fuso hilo baada ya kubaini wahusika walikuwa na upungufu wa vibali vya kusafirisha mzigo kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine.

Aidha, Mongella ameagiza vyombo vya dola kufanya uchunguzi ili kujua uhalali wa sampuli hizo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!