Saturday , 20 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Polisi wakamata sampuli ya madini
Habari Mchanganyiko

Polisi wakamata sampuli ya madini

Spread the love

JESHI la Polisi mkoani Mwanza linashikilia lori aina ya fuso lililokuwa linasafirisha sampuli za madini 883, zilizowekwa kwenye ndoo 226 kutoka mkoani Geita kuelekea katika maabara ya kupima iliyoko jijini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Shehena hiyo ya sampuli za miamba ya madini 883 kutoka Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM) ilikamatwa jana na askari wa doria.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoani humo, amesema askari hao walikamata fuso hilo baada ya kubaini wahusika walikuwa na upungufu wa vibali vya kusafirisha mzigo kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine.

Aidha, Mongella ameagiza vyombo vya dola kufanya uchunguzi ili kujua uhalali wa sampuli hizo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Gardner Habash wa Clouds Fm afariki dunia

Spread the loveALIYEKUWA mtangazaji wa kipindi cha Jahazi kinachorushwa na kituo cha...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wauguzi, madaktari 1000 kugawiwa mitungi ya Oryx Gas

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yachaguliwa Makamu wa Rais Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani

Spread the love  TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)...

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),...

error: Content is protected !!