Tuesday , 30 May 2023
Home Habari Mchanganyiko Polisi wakamata sampuli ya madini
Habari Mchanganyiko

Polisi wakamata sampuli ya madini

Spread the love

JESHI la Polisi mkoani Mwanza linashikilia lori aina ya fuso lililokuwa linasafirisha sampuli za madini 883, zilizowekwa kwenye ndoo 226 kutoka mkoani Geita kuelekea katika maabara ya kupima iliyoko jijini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Shehena hiyo ya sampuli za miamba ya madini 883 kutoka Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM) ilikamatwa jana na askari wa doria.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoani humo, amesema askari hao walikamata fuso hilo baada ya kubaini wahusika walikuwa na upungufu wa vibali vya kusafirisha mzigo kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine.

Aidha, Mongella ameagiza vyombo vya dola kufanya uchunguzi ili kujua uhalali wa sampuli hizo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wenye ulemavu waiomba MISA-TAN iwajengee uwezo wa uhuru wa kujieleza

Spread the love  TAASISI ya vyombo vya Habari kusini mwa Afrika (MISA-TAN)...

Habari Mchanganyiko

Wanawake wajawazito 2000 Korogwe washiriki Marathon, Mwenyekiti UWT amsifu Jokate

Spread the loveWANAWAKE wajawazito zaidi ya 2000 wilayani Korogwe mkoani Tanga wameshiriki...

Habari Mchanganyiko

Kirigini kuzikwa leo Butiama

Spread the love  MWILI wa aliyekuwa Mbunge wa Musoma Vijijini (1980-1985), Herman...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jeshi la Polisi kushirikiana na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika utafiti

Spread the love  JESHI la Polisi Nchini limesema kuwa katika kukabiliana na...

error: Content is protected !!