Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Nyufa Hostel za Magufuli zaanza kurekebishwa
Habari za Siasa

Nyufa Hostel za Magufuli zaanza kurekebishwa

Spread the love

SIKU chache baada ya kusambaa kwa picha zilizoonesha nyufa katika kuta za majengo ya mabweni ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), nyufa hizo zimeanza kukarabatiwa, anaandika Mwandishi Wetu.

Ukarabati huo unafanyika na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) ambapo Desemba 3, mwaka huu picha za nyufa hizo zilisambaa mitandaoni huku Kumbusho Dawson, Mbunge katika serikali ya wanafunzi UDSM (Daruso) alishikiliwa kuhojiwa na baadaye kuachiwa huru na polisi kitengo cha makosa ya mtandao.

Hata hivyo TBA ilitolea ufafanuzi nyufa hizo kupitia Mtendaji Mkuu wa TBA, Mhandisi Elius Mwakalinga na kueleza kuwa kutokea kwa nyufa hizo ni jambo la kawaida na haina madhara.

Majengo hayo ambayo yalijengwa na TBA ambao wameeleza kuwa bado inaangalia dosari nyingine zilizopo katika majengo hayo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

error: Content is protected !!