Friday , 2 June 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa Rais Msumbiji amuiga Magufuli
Kimataifa

Rais Msumbiji amuiga Magufuli

Filipe Nyusi, Rais wa Msumbiji akisalimiana na mwenyeji wake, Rais John Magufuli
Spread the love

FILIPE Nyusi, Rais wa Msumbiji amewafukuza kazi mawaziri wanne, akiwemo Waziri wa Mambo ya Nje na Waziri wa Nishati, anaandika Mwandishi wetu.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Ofisi ya Rais Nyusi, inaeleza kwamba hakuna sababu zilizotajwa ambazo zimechangia kufukuzwa kazi mawaziri hao, pia taarifa hiyo haikutaja mawaziri walioteuliwa kujaza nafasi hizo.

Mawaziri waliofukuzwa ni, Leticia da Silva Klemens ambaye alikuwa Waziri wa Nishati, Oldemiro Baloi aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje pamoja na Waziri wa Viwanda na Biashara na wa Kilimo na Usalama wa Chakula.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Kauli ya Rais wa China kuhusu ajira yawakatisha tamaa vijana

Spread the love  KAULI ya hivi karibuni ya Rais wa China, Xi...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Jeshi la Sudan lasitisha mazungumzo na wanamgambo wa RSF

Spread the love  JESHI rasmi la serikali ya Sudan, limesitisha ushiriki wake...

Kimataifa

Wakimbizi laki mbili wa Kongo, Burundi kuhemea chakula

Spread the love  SHIRIKA la Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP), limetangaza...

Kimataifa

Mkutano wa Quad Hiroshima waibuka na kutafuta amani na ustawi wa Indo-Pacific

Spread the love  JITIHADA za mazungumzo ya Pande Nne (Quad), hazikuthaminiwa na...

error: Content is protected !!