TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemsimamisha Tundu Lissu, mgombea urais kupitia Chadema kufanya kampeni kwa siku saba kuanzia kesho Jumamosi hadi 9 Oktoba 2020 kutokana na kukiuka maadili ya uchaguzi. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).
Uchaguzi Mkuu utafantika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020.
Soma taarifa yote ya NEC hapa chini;
Leave a comment