Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mbowe na wenzake wafikishwa mahakamani Kisutu
Habari za SiasaTangulizi

Mbowe na wenzake wafikishwa mahakamani Kisutu

Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema na viongozi wengine wakiwasili mahakamani
Spread the love

MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe na viongozi wengine wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusomewa mashtaka yanayowakabiri. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Viongozi hao walioripoti Kituo cha Polisi cha Kati jijini Dar es Salaam kama walivyotakiwa mapema leo, lakini walipofika waliondolewa dhamana na kuwekwa mahabusu.

Mchana huu viongozi hao akiwemo Mbowe na Katibu Mkuu Dkt. Mashinji,  Salum Mwalim, Msigwa, Mnyika na Esther Matiko wamefikishwa katika Mahakama ya Kisutu mchana huu baada ya kutolewa Kituo Kikuu cha Polisi walipokuwa wameshikiliwa. 

MwanaHALISI Online itaendelea kuwajulisha kinachoendelea mahakamani hapo

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!