Saturday , 27 April 2024
Home Habari Mchanganyiko IGP Sirro afanya mabadiliko makamanda wa mikoa
Habari Mchanganyiko

IGP Sirro afanya mabadiliko makamanda wa mikoa

Hassan Nassir, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kusini Pemba
Spread the love

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amefanya mabadiliko ya baadhi ya makamanda wa polisi wa mikoa nchini, kwa kumhamisha Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba, Hassan Nassir kuwa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kusini Pemba. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Taarifa hiyo ya mabadiliko imetolewa leo tarehe 3 Septemba, 2018 na Msemaji waJeshi la Polisi Makao Makuu, ACP Barnabas Mwakalukwa.

Taarifa hiyo inaeleza kuwa, nafasi ya Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi, SACP Nassir imechukuliwa na aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Pemba, SACP Mohamed Shehan Mohamed.

“Pia, uhamisho huo ni mabadiliko ya kawaida yanayotokea ndani ya jeshi la polisi katika kuongeza ufanisi wa utendaji kazi. Lengo kuu ni kufanya mabadiliko yenye tija kwa umma katika masuala ya ulinzi na usalama,” inaeleza sehemu ya taarifa hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!