Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Dada wa Rais Magufuli azikwa Chato
Habari za Siasa

Dada wa Rais Magufuli azikwa Chato

Spread the love

MWILI wa Monica Magufuli, dada wa Rais John Magufuli umezikwa leo tarehe 21 Agosti mwaka huu, nyumbani kwao katika kijiji cha Mlimani Chato mkoani Geita. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Kabla ya mwili huo kuzikwa, ilitangulia misa takatifu ya kumuombea marehemu Monica iliyoongozwa na Baba Askofu Mkuu Mwandamizi, Yuda Thaddeus Ruwaichi.

Baada ya misa hiyo, Rais Magufuli aliwaongoza mamia ya watu waliojitokeza kumzika marehemu dada yake Monica aliyefariki dunia tarehe 19 Agosti, 2018 katika hospitali ya Bugando jijini Mwanza alikokuwa napatwa matibabu.

Viongozi mbalimbali wa serikali na wastaafu washiriki mazishi ya marehemu Monica, wakiwemo, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi, Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dkt. Jakaya Kikwete na Waziri Mkuu Mstaafu wa Kenya, Raila Odinga.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!