Friday , 26 April 2024
Home Kitengo Michezo Boban kuanza kuitumikia Yanga leo
Michezo

Boban kuanza kuitumikia Yanga leo

Haruna Moshi Boban, alipokuwa anaitumikia African Lyon
Spread the love

BAADA ya kusajiriwa kwenye dirisha dogo la usajiri kutokea klabu ya African Lyion mchezaji Haruna Moshi ‘Boban’ (31) leo amejumuishwa kwenye kikosi cha Yanga kitakachoanza kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho ‘FA’ dhidi ya Tukuyu Stars kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).

Boban ambaye amesajiliwa kwa mkataba mfupi wa miezi sita tu wenye thamani ya Sh. 25 milioni, alifanikiwa kumvutia Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera kwenye baadhi ya michezo ya Ligi Kuu hivyo na kuwaomba viongozi wa klabu hiyo kumsajili.

Mchezo huo wa leo utakuwa nduo wa kwanza kwa Yanga kuanza kuusaka ubingwa wa michuano hiyo ambayo bingwa atafanikiwa kuiwakilisha nchi kwenye Kombe la Shirikisho Afrika katika msimu ujao wa kimashindano.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!