Friday , 26 April 2024
Home Sports Aveva, Nyange wafutiwa mashtaka ya utakatishaji fedha
Sports

Aveva, Nyange wafutiwa mashtaka ya utakatishaji fedha

Spread the love

EVANS Aveva, aliyekuwa Rais wa Klabu ya Simba na makamu wake Godfrey Nyange, wamefutiwa mashtaka mawili ya utakatishaji fedha, kati ya mashtaka kumi yaliyokuwa yanawakabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea).

Mashtaka hayo yamefutwa leo tarehe 19 Septemba 2019 na mahakama hiyo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba,baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha mashtaka hayo.

Mahakama hiyo imeeleza kwamba, dhamana ya watuhumiwa hao iko wazi kwa masharti ya kuwa na wadhamini wawili watakaosaini bondi ya Sh. 30 milioni.

Aveva na Nyange kwa sasa wanakabiliwa na mashtaka nane ambayo mahakama hiyo imekuta wana kesi ya kujibu.

Mashtaka hayo ni pamoja na  ya matumizi mabaya ya madaraka, kula njama, kughushi nyaraka zinazoonesha Klabu ya Simba inalipa mkopo wa Dola za Marekani 300,000 kwa rais huyo mstaafu wa Simba.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Sports

The COVID Data That Are Actually Useful Now

Spread the loveMauris mattis auctor cursus. Phasellus tellus tellus, imperdiet ut imperdiet...

Sports

The No Sugar Challenge That Almost Broke Me

Spread the loveMauris mattis auctor cursus. Phasellus tellus tellus, imperdiet ut imperdiet...

Sports

The Unorthodox Solution to the World’s Migration Woes

Spread the loveMauris mattis auctor cursus. Phasellus tellus tellus, imperdiet ut imperdiet...

Sports

How To Season 3: When Expectations Don’t Meet Reality

Spread the loveMauris mattis auctor cursus. Phasellus tellus tellus, imperdiet ut imperdiet...

error: Content is protected !!