Friday , 26 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Ajali ya treni yajeruhi watu tisa
Habari MchanganyikoTangulizi

Ajali ya treni yajeruhi watu tisa

Spread the love

WATU tisa wamejeruhiwa katika ajali ya treni iliyotokea asubuhi ya leo tarehe 2 Novemba 2018 maeneo ya Karakata wilayani Ilala jijini Dar es Salaam. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Taarifa ya ajali hiyo imethibitishwa na Kamanda wa Reli nchini, David Mnyambugha akisema kuwa majeruhi wa ajali hiyo wamepelekwa hospitalini kwa ajili ya kupatiwa matibabu.

Kwa mujibu wa Mnyambugha, ajali hiyo pia imesababisha kuharibika vibaya kwa mabehewa mawili.

Katika hatua nyingine, amesema mabehewa hayo hayafai kuendelea na safari hadi yavutwe, na kwamba taarifa kuhusu safari za treni hiyo itatolewa hapo baadae na mamlaka husika ambayo ni Shirika la Reli nchini (TRC)

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!