Mustapha Ally, Mkazi wa Wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma (kushoto) akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya sh 500,000 kwa niaba ya Godlisen Moshi kutoka kwa Meneja mauzo kampuni ya bia ya Serengeti breweries Ltd (SBL) Mwanahamisi Musa. Moshi alibuka mshindiWa wa kiasi hicho cha fedha kwenye droo ya sita MAOKOTO iliyochezeshwa wiki iliyopita na makabidhiano hayo yalifika juzi usiku wilayani hapo
Meneja Mradi kutoka SBL Ali Maiko (kulia) akimkabidhi mfano wa hundi ya Shs 500,000 mshindi wa Maokoto ndani ya kizibo, Fikiri Abdul (wa pili kushoto) kwenye droo ya sita iliyofanyika Malamba Mawili, Dsm kwenye baa iitwayo Kibo zone.
Leave a comment