Saturday , 18 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Vijana 400 waguswa na programu ya “Learning for Life” ya SBL
Habari Mchanganyiko

Vijana 400 waguswa na programu ya “Learning for Life” ya SBL

Spread the love

 

PROGRAMU ya Learning for Life” imetimiza dhamira ya Serengeti Breweries Limited  (SBL) ya kuwawezesha zaidi ya vijana 400 Hanang kupitia stadi muhimu na maarifa kwa ajili ya maendeleo yao, ujuzi wa kibiashara, usimamizi wa fedha, na mipango bora ya biashara. Anaripoti Mwandishi Wetu, Manyara … (endelea).

 Mafunzo hayo ya siku 3 yamekamilika na yametimiza lengo lake la kutoa Mafunzo ambayo yamewaandaa  vijana na stadi za kujiajiri na kujenga fursa za kazi. lengo kuu la Serengeti Breweries Limited ni kuwasaidia kutambua fursa na kuzitumia ipasavyo.

Programu hiyo iliwakutanisha na  wa kutengeneza mtandao wa watu wa ujuzi mbalimbali , kujifunza kutoka kwa wataalamu, na kupata ufahamu wa vitendo kutoka sekta tofauti, yote kwa lengo la kupunguza ukosefu wa ajira, kupunguza umaskini, na kujenga mustakabali ulio bora kwa vijana wa Wilaya ya Hanang.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Lissu akabidhiwa gari lake, aomba msaada wa matengenezo

Spread the loveMakamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu leo Ijumaa amekabidhiwa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yazindua bima ya afya kwa wakulima

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na kampuni...

Habari Mchanganyiko

Makamba awasili China kwa ziara ya kikazi

Spread the loveWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,...

Habari Mchanganyiko

Ethiopia yafungua njia ujenzi wa ubalozi Dodoma

Spread the loveSerikali ya Tanzania imeipongeza Serikali ya Ethiopia kwa kuweka historia...

error: Content is protected !!