Sunday , 30 June 2024

Month: June 2024

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Serikali yakana kuweka rehani bahari, madini

SERIKALI ya Tanzania, imesema haijaweka rehani rasilimali za nchi ili kupata mkopo wa zaidi ya Sh. 6.7 trilioni, kutoka katika Serikali ya Korea...

Habari MchanganyikoTangulizi

NGO ya Kapuya yachunguzwa kwa ushoga

SERIKALI imeanza kuichunguza Taasisi ya Athuman Kapuya, dhidi ya tuhuma za usambazaji ushoga inazoikabili shirika hilo lisilo la kiserikali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari Mchanganyiko

Baba amuua kinyama mtoto wake, anyofoa sehemu za siri

ERICK Magulu (33), mkazi wa wilaya ya Kilombero, anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Morogoro, kwa tuhuma za kumuua kinyama mtoto wake wa...

Habari za Siasa

Lissu awapa kibarua wakulima na wafugaji uchaguzi Mkuu 2025

WAKULIMA na wafugaji wametakiwa kutokichagua tena Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2025, kwa madai...

Habari za Siasa

Butiku: Kumchangia fedha Samia kwa ajili ya uchaguzi ni rushwa

MWENYEKITI wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere (Mwalimu Nyerere Foundation), Mzee  Joseph Butiku, amekemea tabia ya baadhi ya watu kumchangia fedha Rais Samia Suluhu...

Biashara

Shindano la Expanse Meridianbet kasino linaendelea

Kama ulijua huna bahati na umechoka kujaribu kwenyemaisha yako, usikate tamaa, jaribu sana kucheza shindanola Expanse ndani ya Meridianbet Kasino ya Mtandaoni, Mamilioni...

Habari Mchanganyiko

Madhehebu ya dini yashirikiane na Serikali kuondoa matendo maovu

WITO umetolewa kwa madhehebu ya dini kushirikiana na Serikali katika kuweka mpango mkakati wa kiroho na kuiokoa jamii ikiwemo watoto kuondokana na tabia...

Habari Mchanganyiko

Kijiji chapata maji safi na salama kwa mara ya kwanza tangu Uhuru

Adha ya upatikanaji wa maji safi na salama, iliyokuwa ikiwakabili wananchi wa Kijiji cha Mherule, kata ya Mwanya Tarafa ya Mang’ula wilayani Kilombero...

Habari Mchanganyiko

Hifadhi ya Saadani yatumia teknolojia kudhibiti tembo

  HIFADHI ya Taifa ya Saadani imeanza mpango wa kudhibiti wanyamapori, wakiwemo tembo wasivamie maeneo ambayo ni makazi ya watu kwa kwa kuwavalisha...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Balozi wa Tanzania nchini Korea akanusha upotoshaji Tanzania kutoa sehemu ya bahari na madini

Balozi wa Tanzania nchini Korea, Togolani Mavura amekanusha taarifa iliyosambazwa na chombo kimoja cha habari kuwa Tanzania imepokea mkopo kutoka Jamhuri ya Korea...

Habari Mchanganyiko

Dk. Biteko aipongeza TMA kwa kutoa huduma ya utabiri kwa ubora

NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Mamalaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kwa kuendelea kutoa huduma bora...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Rais Samia kujenga chuo cha masuala ya anga

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema ana nia ya kujenga chuo cha masuala ya anga nchini kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha...

Habari Mchanganyiko

PIA yaipa mamilioni THRDC uimarishaji haki za kiraia

SHIRIKA la Protection International Africa (PIA), limeiongezea  mkataba wa mwaka mmoja wenye thamani ya Euro 122,440 (Sh. 34.5 milioni), Mtandao wa Watetezi wa...

Habari Mchanganyiko

Watu 6 mbaroni kwa kudakwa na meno ya tembo

Watu sita wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoa wa Kilimanjaro kwa tuhuma za  kukutwa na nyara za serikali aina ya meno ya Tembo...

Biashara

Expanse Tournament kasino, shinda mamilioni

  BADO una nafasi ya kuendelea kuwa mshindi na kupiga mtonyo mrefu, kwa kushiriki promosheni ya Expanse ndani ya Meridianbet Kasino ya Mtandaoni....

Habari Mchanganyiko

Kesi ya wanandoa kujeruhi jirani yapigwa kalenda tena

SHAHIDI wa upande wa mashitaka Kiran Lalit Ratilal, ameshindwa kutoa ushahidi katika kesi  ya kujeruhi inayowaabili wanandoa Bharat Nathwan (57) na Sangita Bharat...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

PPAA mbioni kukamilisha kanuni za rufaa za ununuzi wa umma za mwaka 2024

Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) ipo katika hatua za mwisho za kupokea maoni ya Kanuni za Rufaa za Ununuzi wa...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Mchungaji Msigwa kupinga ushindi wa Sugu Kanda ya Nyasa

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa, amekata rufaa kupinga matokeo ya uchaguzi yaliyomng’oa madarakani...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Trilioni moja yatengwa kuwapiga jeki vijana

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Patrobas Katambi amesema katika mwaka wa fedha 2024/2025, Serikali imetenga Sh...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Bilioni 1.75 kujenga soko la samaki Chato, Majaliwa aahidi ushirikiao kwa wavuvi na wafugaji

Waziri Mkuu Kassim Majakiwa amesema Serikali inaendelea kujikita katika kuhakikisha inaimarisha na kuwashirikisha wavuvi na wafugaji katika mipango ya maendeleo. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Habari Mchanganyiko

DAWASA yafunga mita 150 za malipo ya kabla Dar na Pwani

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inaendelea na zoezi la ufungaji wa mita za malipo ya kabla (prepaid...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC, Simba SC. na Twiga Stars waendesha kliniki ya michezo kwa watoto

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), mdhamini Mkuu wa Ligi ya Kuu ya Tanzania Bara (NBC Premiere League)  imeendesha  msimu wa pili wa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yazindua akaunti ya mfugaji kupiga jeki sekta ya mifugo

Benki ya Taifa ya Biashara NBC) imezindua ‘Akaunti ya Mfugaji’ mahususi kwa ajili ya wadau wa sekta ya ufugaji nchini wakiwemo wafugaji, wanenepeshaji...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Korea Kusini kuipatia Tanzania Sh. 6.5 trlioni

SERIKALI ya Jamhuri ya Korea Kusini na Tanzania, zimesaini tamko la pamoja la kuanzisha mkataba wa ushirikiano wa uchumi (EPA), pamoja na hati...

Biashara

Sloti ya Sticky 777 ushindi X1000 ya dau lako, cheza kasino uwe tajiri

  Sloti ya Sticky 777 inasifika kwa urahisi wake wa kucheza na washindi kila dakika, ni mchezo wa kasino ya mtandaoni uliotawaliwa na...

Habari za Siasa

Uchaguzi Serikali za Mitaa: Lissu awaangukia Polisi

JESHI la Polisi nchini limetakiwa kulinda kura za wagombea katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, unaotarajiwa kufanyika mwaka huu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari za Siasa

Lissu awataka watumishi wagome ili mishahara

MAKAMU Mwenyelkiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, Tundu Lissu, amewataka watumishi wa umma kufanya mgomo ili kuishinikiza Serikali iwaongezee mishahara....

Habari za SiasaTangulizi

Sumaye airushia dongo Chadema

MWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Frederick Sumaye amesema hakuna chama cha siasa cha upinzani kinachoweza kuendesha nchi zaidi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

CCM yatakiwa kujifunza anguko la ANC Afrika kusini

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimesema Chama tawala Cha Mapinduzi (CCM), kinapaswa kijifunze kupitia anguko la chama tawala nchini Afrika Kusini (ANC), lililotokana na chama...

Habari za SiasaMichezo

Samia awavuta wasanii Korea kuigiza na Watanzania

Sekta ya Filamu nchini Jamhuri ya Korea imeahidi kushirikiana na sekta ya filamu nchini Tanzania ili iweze kuzalisha filamu zenye viwango vya Kimataifa...

Biashara

Ushindi mkubwa na Joker Poker kasino

Katika ulimwengu wa michezo ya kasino ya mtandaoni, maranyingi michezo ya sloti hutawala zaidi. Japokuwa watumiajiwengi hupenda Zaidi kucheza Video Poker kutoka Meridianbet.Jisajili...

ElimuHabari Mchanganyiko

Dk. Biteko apongeza mikakati ya kuinua elimu Dodoma

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Dotto Biteko amepongeza Mbunge wa Dodoma Mjini (CCM) pamoja na uongozo wa Jiji la Dodoma...

Habari za SiasaKimataifa

Biden amjibu Trump, adai uzembe umemponza

Rais wa Marekani, Joe Biden amesema uzembe umemponza mtangulizi wake, Donald Trump kwa kuwa alipewa kila fursa kujitetea katika kesi ambayo amepatikana na...

Habari za SiasaKimataifa

Mama mkwe wa Obama afariki dunia

Marian Robinson, mama yake Michelle Obama ambaye ni mke wa rais wa zamani wa Marekani, Barack Obama amefariki dunia akiwana umri wa miaka...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Dk. Mpango aongoza zoezi la usafi Ilala, atoa maagizo 5

Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango leo Jumamosi ameongoza viongozi pamoja na wananchi mbalimbali wa Mkoa wa Dar es Salaam katika zoezi la...

Habari za SiasaKimataifa

Serikali ya mseto yanukia Afrika Kusini baada ya ANC kuanguka

Vyama vya siasa nchini Afrika Kusini, vimeanza mazungumzo ya kujaribu kutengeneza muungano utakayowezesha kuunda Serikali ya mseto. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea)....

Michezo

Hapa Real Madrid, pale Borussia Dortmund fainali ya UEFA

MWEZI unafunguliwa kibabe kwani kutakua na mtananangemkali wa fainali ya ligi ya mabingwa barani ulaya kati yaklabu ya Real Madrid dhidi ya Borussia Dortmund...

error: Content is protected !!