Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM) amesema amenuia kumpeleka mahakamani Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe na bodi ya sukari chini ya ibara 26,27...
By Mwandishi WetuJune 30, 2024Leo ni zamu yako kushinda na kuibuka Mfalme wa Meridianbet, mgao wa Mamilioni unatoka muda wowote, chaguo ni lako cheza michezo ya...
By Mwandishi WetuJune 29, 2024Kikosi kazi cha Polisi Wanamaji Dar es Salaam kimekamata majahazi mawili katika Bahari ya Hindi, upande wa Dar es Salaam yakiwa na madumu...
By Mwandishi WetuJune 29, 2024Shirika la Human Rights Watch limesema takriban watu 30 walifariki dunia nchini Kenya katika maandamano yaliyofanyikaya wiki hii kupinga Bunge na Rais Wiliam...
By Mwandishi WetuJune 29, 2024WATUHUMIWA wa mauaji ya Asimwe Novath, mtoto mwenye ualbino, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mjini Bukoba. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Mbele ya...
By Mwandishi WetuJune 28, 2024MAHAKAMA ya wilaya Nkasi Mkoani Rukwa, imemhukumu kifungo cha maisha jela, Kelvin Pungama (23) mkazi wa Kijiji cha Karundi kwa kosa la kumbaka...
By Mwandishi WetuJune 28, 2024Wafanyabiashara wa mkoa wa Songwe katika masoko yaliyopo Tunduma wilayani Momba wameungana na wenzao wa mikoa mingine ikiwemo Kariakoo kufungua maduka baada ya...
By Mwandishi WetuJune 28, 2024Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, imekubali ombi la Mabalozi wa nchi mbalimbali walioomba kikao...
By Mwandishi WetuJune 28, 2024WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema kwa mwaka 2023/2024 hadi kufikia Juni, 2024 jumla ya wanafunzi 224,056 wamepatiwa mikopo yenye jumla ya Sh 743.2...
By Mwandishi WetuJune 28, 2024Mahakama kuu nchini Kenya imeruhusu jeshi la nchi hiyo KDF kutumiwa katika kuwasaidia polisi kupambana na maandamano ya kupiga mswada wa fedha. Inaripoti...
By Mwandishi WetuJune 28, 2024NAIBU Waziri Mkuu, Dk. Dotto Biteko amesema vitendo vya mmomonyoko wa maadili vinavyotokea nchini ikiwamo mauaji ya watu wenye ualbino na mapenzi ya...
By Mwandishi WetuJune 28, 2024RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameipongeza Kampuni ya Oryx Gas kwa kujenga bohari ya kwanza...
By Mwandishi WetuJune 27, 2024ISHI KIFALME kwa kucheza Kasino, Meridianbet kunapromosheni kubwa ya Expanse inatoa mgao wa Mamilionikwa washinda 40. Jisajili hapa na chagua mchezo wako waushindi....
By Mwandishi WetuJune 27, 2024WATANZANIA wametakiwa kutotumia uchaguzi kuwa wakati wa mavuno ya pesa na mali kutoka kwa wagombea, kwani kitendo hicho kinachangia nchi kupata viongozi wasiofaa...
By Mwandishi WetuJune 27, 2024Wakati Serikali ikiwa imefunga shughuli za uvuvi katika Ziwa Tanganyika kuanzia Mei 15 hadi Agosti 15 mwaka huu, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya...
By Mwandishi WetuJune 27, 2024Kampuni ya kuuza nishati ya gesi ya kupikia majumbani ya Taifa Gas Limited imezindua mpango wake maalum unaotoa punguzo la bei ya nishati...
By Mwandishi WetuJune 27, 2024MGOMO wa wafanyabiashara kutoka katika mikoa mbalimbali nchini imendelea kushika kasi baada ya mikoa ya Morogoro na Kagera kuungana na wengine wa mikoa...
By Mwandishi WetuJune 27, 2024Wakenya kutoka maeneo ya Kisumu, Kisii, Mombasa na sehemu nyingine za nchi wamejitokeza tena barabarani ili kuonyesha kutoridhika kwao na serikali ya Rais...
By Mwandishi WetuJune 27, 2024RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni amekataa kutia saini Muswada wa Matumizi ya Pesa za Bajeti 2024 hadi Bunge la nchi hiyo litakaporejesha Sh750...
By Mwandishi WetuJune 27, 2024Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) imeanza kutekeleza kazi ya uchimbaji visima katika eneo la Mbezi- Msumi Kata...
By Mwandishi WetuJune 26, 2024SHIRIKA la AMREF Health Africa – Tanzania, limeipongeza Benki ya NMB kwa kuchangia vifaa tiba vya Sh. 20.17 milioni katika mwaka wa mwisho...
By Mwandishi WetuJune 26, 2024Rais wa Kenya, William Ruto amekataa kutia saini Muswada wa Fedha wa 2024 kuwa sheria na kupendekeza marekebisho kadhaa kwenye muswada huo. Inaripoti...
By Mwandishi WetuJune 26, 2024KUNDI la mawakili na wanaharakati wameelekea mahakamani kumzuia Rais wa Kenya, William Ruto kutia saini Muswada wa Fedha wa 2024 na Muswada wa...
By Mwandishi WetuJune 26, 2024LICHA ya Rais Samia Suluhu Hassan kuahidi kuwa hadi kufikia tarehe 8 Agosti mwaka huu atakuwa ameinyoosha bandari ya Dar es Salaam na...
By Mwandishi WetuJune 26, 2024WAZIRI wa Katiba na Sheria, Balozi Dk. Pindi Chana amesema amepanga kukutana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa...
By Gabriel MushiJune 26, 2024VITENDO vya ubakaji, mauaji yatokanayo na visa vya wivu wa mapenzi na imani za kishirikina, vimetajwa kuwa ni moja ya changanoto zinazoikumba jamii...
By Mwandishi WetuJune 26, 2024Wazazi na walezi Kijiji cha Ipapa Kata ya Ipunga Wilaya ya Mbozi mkoni Songwe wametakiwa kuacha tabia ya kuwafanya watoto vitega uchumi vya...
By Mwandishi WetuJune 26, 2024Rais mstaafu wa Kenya, Uhuru Kenyatta ameitaka serikali ya nchi hiyo kuwasikiliza Wakenya kufuatia maandamano ya kupinga Muswada wa Fedha ambayo yalizua taharuki...
By Mwandishi WetuJune 26, 2024Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Meridianbet Zoran Milosevic, atakuwa mzungumzaji mkuu katika Siku ya Wawekezaji yaSenzal, moja ya jukwaa muhimu zaidi la wawekezaji nawafanyabiashara...
By Mwandishi WetuJune 26, 2024SERIKALI ya Kenya imetangaza kuruhusu Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo (KDF) kusaidia kuleta utulivu baada ya leo Jumanne kushuhudia maandamano yaliyosababisha maafa,...
By Mwandishi WetuJune 25, 2024Huna haja ya kujiuliza kuwa utapiga wapi mpunga siku ya leo, wewe ingia tuu Meridianbet kwani hapa utakutana na mechi kibao zinazopigwa ambapo...
By Mwandishi WetuJune 25, 2024WABUNGE wa Bunge la Kenya wamelazimika kukimbia ofisi zao zilizoko Bunge Towers baada ya waandamanaji wanaopinga ushuru kwenye Muswada wa Fedha 2024, kuvamia...
By Mwandishi WetuJune 25, 2024Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameipongeza Benki ya NMB kwa kuanza kutoa bima ya mifugo inayolenga kupunguza hatari...
By Mwandishi WetuJune 25, 2024BINADAMU yeyote lazima anakuwa na ndoto kubwa katika maisha yake, lakini wengi wana ndoto ya kumilika pesa nyingi ili waishi vizuri, Iko hivi...
By Mwandishi WetuJune 25, 2024MUONGOZO wa namna nzuri ya kuendesha mashirika ya umma ya Zanzibar ikiwemo utaratibu mpya wa kuidhinisha bajeti zao ni miongoni mwa hatua...
By Mwandishi WetuJune 25, 2024MAELFU ya vijana wamefurika katikati mwa barabara za miji nchini Kenya kushiriki maandamano ya kupinga Muswada wa Fedha 2024 ilihali wabunge wakiendelea kuujadili...
By Mwandishi WetuJune 25, 2024Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema anawaunga mkono wafanyabiashara wa Kariakoo walioanza mgomo jana Jumatatu kuishinikiza serikali kutatua...
By Mwandishi WetuJune 25, 2024BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeazimia kumfungia vikao 15 Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM) kwa kudharau mamlaka ya Spika...
By Mwandishi WetuJune 24, 2024Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kupitia kwa Mwenyekiti wake, Ally Juma Makoa imemkuta na hatia Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina...
By Mwandishi WetuJune 24, 2024Kasino imejaa utajiri! Moja ya michezo inayoweza kukupa hela kubwa leo, ni mchezo wa namba unaofanya vizuri madukani na kwenye kasino ya...
By Mwandishi WetuJune 24, 2024Jumatatu ya kupiga mkwanja na Meridianbet imefika rasmi ambapo ndugu mteja leo hii unaweza kusuka mkeka wako wa maana na kuibuka mshindi....
By Mwandishi WetuJune 24, 2024Serikali imesitisha zoezi la ukaguzi wa risiti za kielekroniki (EFD) na ritani za kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), iliyokuwa ikifanywa na Mamlaka...
By Mwandishi WetuJune 24, 2024Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewathibitishia wafanyabiashara waliofungua maduka leo Jumatatu licha ya kuwepo kwa mgomo kwa baadhi yao,...
By Mwandishi WetuJune 24, 2024SAKATA la sukari limeendelea kuwa mjadala mzito ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muunga wa Tanzania linaloendelea sasa huku baadhi ya wabunge wakimtaka...
By Mwandishi WetuJune 24, 2024Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka Wajumbe wa Sekretarieti ya Kamati Maalum ya NEC- CCM...
By Mwandishi WetuJune 24, 2024LICHA ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila kuwataka wafanyabiashara wa Soko la Kariakoo kuepuka kushiriki mgomo uliovuma kuanza leo,...
By Mwandishi WetuJune 24, 2024Milioni 2,500,000/= TZS zipo zinakusubiri leo hii kwakucheza kasino, michezo ya Expanse iliyopo MeridianbetKasino ya Mtandaoni. Washindi 40 kujizolewa bonasi zakasino na Ushindi...
By Mwandishi WetuJune 23, 2024Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amewataka wafanyabiashara kuepuka kushiriki kwenye masuala yanayoweza kuleta uvunjifu wa amani na kurudisha...
By Gabriel MushiJune 23, 2024KAMPENI chafu imeanzishwa kwenye mitandao ya kijamii dhidi ya Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA), Alphayo Kidata, na genge...
By Mwandishi WetuJune 23, 2024Rais Samia Suluhu Hassan amefanya utenguzi na uteuzi wa viongozi mbalimbali akiwamo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Joseph Constantine Mafuru...
By Mwandishi WetuJune 22, 2024