Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa TRA yaweka historia, yakusanya Trilioni 2 Desemba
Habari za SiasaTangulizi

TRA yaweka historia, yakusanya Trilioni 2 Desemba

Spread the love

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imeweka historia ya makusanyo ya mapato kwa Desemba 2020, kwa kukusanya Sh.2.088 trilioni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Kiwango hicho cha makusanyo, hakijawahi kukusanywa katika historia ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

Hayo yamesemwa leo Ijumaa tarehe 01 Januari 2021 na Kamishna Mkuu wa TRA, Dk. Charles Mhende wakati akitoa taarifa za makusanyo hayo.

Soma mchanganuo wote wa taarifa ya makusanyo ya Dk. Mhende;

1 Comment

  • Tusidanganyane. Sehemu kubwa ya kodi inayokusanywa ni kutoka taasisi za fedha. Benki zinakusanya kodi katika kila kitu. Kuanzia riba hadi fedha zinazochukuliwa hadi wateja kuuliza salio na kadhakika. ATM zinafanya kazi ya kukusanya kodi na wala si TRA
    Simu za mkononi nazo kila kitu kodi – kutuma fedha hadi kuuliza salio hadi kutoa fedha na kadhalika. Ukusanyaji unafanywa na mawakala na wala si TRA ambao ni wapokeaji tu
    Halafu kuna mamilioni ya waajiriwa katika makampuni na mashirika na serikali. Hawa wanakatwa PAYE kutoka mishahara yao na kuwasilishwa TRA
    Kwa upande mwengine kiuna mamilioni ya wafanya biashara ambao wanakwepa matrilioni ya kodi wala hawaulizwi na TRA. Fika Kariakoo na kuona ni maduka mangapi wana mashine za risiti na kuzitumia? Haifiki hata asilimia moja. Tena hawalipi hata kodi ya mapato

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!