Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Spika Ndugai apasua vichwa wabunge
Habari za SiasaTangulizi

Spika Ndugai apasua vichwa wabunge

Spread the love

SPIKA wa Bunge la Jamhuri, amepanga upya Kamati za Bunge, kufuatia kumalizika kwa muda wa kamati za awali. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Katika mabadiliko hayo, wabunge kadhaa wamehamishwa kwenye kamati walizokuwa awali na kuhamishiwa kwenye kamati nyingine.

Miongoni mwa walioathirika na hamisha hiyo, ni pamoja na mbunge wa Muhenza (CCM), Adadi Rajabu, aliyehamishiwa Kamati ya Bajeti.

Kabla ya mabadiliko hayo, Adadi alikuwa mjumbe kwenye Kamati ya Ulinzi na Usalama na mwenyekiti wa kamati hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!