SPIKA wa Bunge la Jamhuri, amepanga upya Kamati za Bunge, kufuatia kumalizika kwa muda wa kamati za awali. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).
Katika mabadiliko hayo, wabunge kadhaa wamehamishwa kwenye kamati walizokuwa awali na kuhamishiwa kwenye kamati nyingine.
Miongoni mwa walioathirika na hamisha hiyo, ni pamoja na mbunge wa Muhenza (CCM), Adadi Rajabu, aliyehamishiwa Kamati ya Bajeti.
Kabla ya mabadiliko hayo, Adadi alikuwa mjumbe kwenye Kamati ya Ulinzi na Usalama na mwenyekiti wa kamati hiyo.
Leave a comment