Friday , 26 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Simulizi ya Dada Bajaji “Wanaume wananisumbua”
Habari Mchanganyiko

Simulizi ya Dada Bajaji “Wanaume wananisumbua”

Waendesha pikipiki (Bodaboda) wakiwa maeneo ya mjini katika shughuli zao za kawaida
Spread the love

KUTANA na Happy Mushi maarufu ‘Dada Bajaji’ akisimulia safari fupi ya maisha yake.

Happy anayefanya shughuli zake katika eneo la Goba jijini Dar es Salaam kwa takriban mwaka mmoja sasa, lakini kabla ya kufanya kazi hiyo zipo kazi mbalimbali alizowahi kizifanya.

Je? Kipi kimemsukuma kuwa dereva wa bajaj? Ndoto zake ni zipo? Anawezaje kupanga muda wake kuhudumia familia kama mama wa watoto wawili.

Kufahamu haya yote tazama video hapo chini kupitia mahojiano aliyofanya na  MwanaHalisi TV.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!