Saturday , 27 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Maji kukoseka saa 24 Vigwaza, Buyuni, Dawasa yawaomba radhi
Habari Mchanganyiko

Maji kukoseka saa 24 Vigwaza, Buyuni, Dawasa yawaomba radhi

Bomba la maji
Spread the love

MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), imetangaza ukosefu wa maji kwa saa 24 kwa wakazi wa maeneo ya Vigwaza hadi Buyuni Mji wa Chalinze mkoani Pwani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa iliyotolewa leo Jumamosi tarehe 30, 2020 na Ofisi ya Mawasiliano ya Dawasa imesema huduma hiyo itakosekana kuanzia leo hadi kesho Jumapili tarehe 31 Mei, 2020.

Katika taarifa hiyo imeeleza, sababu ya ukosefu wa majisafi ni kuhamisha bomba ili kupisha upanuzi wa barabara katika eneo la Mizani ya magari Vigwaza.

Maeneo yatakayoathirika ni Vigwaza, Visezi na Buyuni. Dawasa imewaomba radhi wananchi wa maneno hayo kwa kwa usumbufu utakaojitokeza.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!