Friday , 5 July 2024
Home Habari Mchanganyiko Viongozi wa ACT jimbo zima watimkia Chadema
Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Viongozi wa ACT jimbo zima watimkia Chadema

Spread the love

Viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo jimbo la Kilindi mkoani Tanga jana tarehe 30 Juni 2024 wamehamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema. Anaripoti Faki Ubwa … (endelea).

Viongozi hao wamepokewa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Kilindi mkoani humo.

Viongozi wa ACT waliohamia Chadema ni pamoja na:-Salum Omar – Mwenyekiti wa Jimbo, Mhina Magoma – Katibu wa Jimbo, Siwema Hassan – Afisa Mipango na Uchaguzi, Mwajabu Khatibu – Mwenyekiti Ngome ya Wanawake Jimbo, Mohamed Hamisi – Katibu Ngome ya Wazee Jimbo na Lazaro Leonard – Katibu wa Kata tya Kwidibom.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

TCB yaja na huduma za ubunifu kidijitali maonesho Sabasaba

Spread the loveBenki ya Biashara Tanzania (TCB) ambayo ni moja ya taasisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Kampuni ya DL GROUP kulipa wafanyakazi ndani siku saba

Spread the loveMWEKEZAJI wa viwanda na mashamba ya chai yaliyopo mkoani Iringa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Shilole balozi mpya Oryx gesi kuhamasisha matumizi nishati safi

Spread the loveKAMPUNI ya Gesi ya Oryx imemtangaza Mama Lishe, Zuwena Mohamed...

ElimuHabari Mchanganyiko

NMB yazipiga tafu sekondari Dar kwa vifaa vya milioni 10

Spread the loveBenki ya NMB imekabidhi meza 90 na viti 90 vyenye...

error: Content is protected !!