Sunday , 30 June 2024
Home Kitengo Biashara Ushuru kwenye bia, urembo kuchangia bima ya afya
BiasharaHabari za SiasaTangulizi

Ushuru kwenye bia, urembo kuchangia bima ya afya

Bia
Spread the love

Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba amependekeza kufanya marekebisho kwenye Sheria ya Ushuru wa Bidhaa, Sura 147  ili kuelekeza  asilimia mbili  ya mapato ya ushuru wa bidhaa yanayokusanywa  kutoka kwenye bidhaa za urembo, vinywaji laini na vileo (bia na pombe kali) kwenye bima ya afya kwa wote.

Amesema lengo la hatua hiyo ni kuongeza fedha zitakazotumika kwa ajili ya kugharamia bima ya afya kwa watu wasio na uwezo na makundi maalum hususan wanawake wajawazito na watoto wa umri chini ya miaka mitano.

Akiwasilisha bungeni jijini Dodoma leo Alhamisi mapendekezo ya serikali kuhusu makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2024/2025, amesema hatua hiyo   inatarajia kupeleka  kiasi  cha Sh 18.8 bilioni katika mfuko mkuu wa serikali.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Mpina amng’ang’ania Bashe, kumburuza mahakamani pamoja na bodi ya sukari

Spread the loveMbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM) amesema amenuia kumpeleka mahakamani...

Biashara

Cheza sloti za Expanse kasino! mamilioni yanakusubiri 

Spread the love  Leo ni zamu yako kushinda na kuibuka Mfalme wa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Majahazi yadakwa na madumu 1,731 ya mafuta ya kupikia

Spread the loveKikosi kazi cha Polisi Wanamaji Dar es Salaam kimekamata majahazi...

Habari za SiasaKimataifa

30 wafariki dunia maandamano Kenya

Spread the loveShirika la Human Rights Watch limesema takriban watu 30 walifariki...

error: Content is protected !!