Sunday , 30 June 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Lissu awapa kibarua wakulima na wafugaji uchaguzi Mkuu 2025
Habari za Siasa

Lissu awapa kibarua wakulima na wafugaji uchaguzi Mkuu 2025

Tundu Lissu
Spread the love

WAKULIMA na wafugaji wametakiwa kutokichagua tena Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2025, kwa madai kuwa Serikali yake imeshindwa kuwaondolewa tozo na ushuru wa kinyonyaji. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Wito huo umetolewa leo tarehe 4 Juni 2024 na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, Tundu Lissu akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Nkungi wilayani Mkalama, Mkoa wa Singida.

“Ukandamizaji ni mfumo pacha wa unyonyaji, nchi hii sio wakulima na wafugaji pekee ni watumishi wote mpaka hawa askari wanaotulinda nso wananyonywa. Serikali wanakusanya majela mengi lakini huduma mbovu,” amesema Lissu.

Lissu amesema “Tanzania hii kuna shida kila mahali na zote zinatokana na watawala wenu hiyo ni dharau ya CCM kwenu wananchi mwaka huu na 2025 wote tuamue kusema tumechoka kunyonywa.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Mpina amng’ang’ania Bashe, kumburuza mahakamani pamoja na bodi ya sukari

Spread the loveMbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM) amesema amenuia kumpeleka mahakamani...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Majahazi yadakwa na madumu 1,731 ya mafuta ya kupikia

Spread the loveKikosi kazi cha Polisi Wanamaji Dar es Salaam kimekamata majahazi...

Habari za SiasaKimataifa

30 wafariki dunia maandamano Kenya

Spread the loveShirika la Human Rights Watch limesema takriban watu 30 walifariki...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Tanzania yakubali kukutana na mabalozi 9 kutatua changamoto za kikodi

Spread the loveSerikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na...

error: Content is protected !!