Friday , 28 June 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Bashe apasua mtumbwi CCM
Habari za SiasaTangulizi

Bashe apasua mtumbwi CCM

Waziri wa Kilimo Tanzania, Hussein Bashe
Spread the love

 

HUSSEIN Mohammed Bashe, waziri wa Kilimo, amekiweka pabaya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kufuatia kuibuka kwa madai kuwa ameshiriki katika ukiukwaji wa sheria, rushwa na kuikosesha serikali mapato katika utoaji wake wa vibali vya kuingiza sukari nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Bashe anatuhumiwa kutoa vibali vya tani 410,000 za sukari kinyume na mahitaji yaliyopo; kuyapa makampuni yasiyo na sifa ya kuingiza bidhaa hiyo na kuikosesha serikali mapato ya zaidi ya Sh. 580 bilioni.

MwanaHALISI Online limeona baadhi ya vivuli vya vibali vilivyotolewa kwa kampuni zisizo na sifa wala hadhi ya kufanya kazi iliyopewa, huku uendeshaji na umiliki wake ukisheheni utata.

Kwa habari zaidi, soma gazeti la MwanaHALISI la kesho Alhamisi, tarehe 20 Juni, 2024.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Dk. Mwinyi aipa tano Oryx kwa ujenzi wa bohari ya kuhifadhia gesi Znz

Spread the loveRAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk....

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Watanzania waonywa kutotumia uchaguzi kuvuna hela

Spread the loveWATANZANIA wametakiwa kutotumia uchaguzi kuwa wakati wa mavuno ya pesa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

MNEC CCM Rukwa atofautiana na Serikali kufungwa uvuvi Ziwa Tanganyika

Spread the loveWakati Serikali ikiwa imefunga shughuli za uvuvi katika Ziwa Tanganyika...

Habari za SiasaKimataifa

Kenya waliamsha tena, maandamano yaanza kuelekea ikulu

Spread the loveWakenya kutoka maeneo ya Kisumu, Kisii, Mombasa na sehemu nyingine...

error: Content is protected !!