Monday , 8 July 2024
Home Habari Mchanganyiko Viongozi wa ACT jimbo zima watimkia Chadema
Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Viongozi wa ACT jimbo zima watimkia Chadema

Spread the love

Viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo jimbo la Kilindi mkoani Tanga jana tarehe 30 Juni 2024 wamehamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema. Anaripoti Faki Ubwa … (endelea).

Viongozi hao wamepokewa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Kilindi mkoani humo.

Viongozi wa ACT waliohamia Chadema ni pamoja na:-Salum Omar – Mwenyekiti wa Jimbo, Mhina Magoma – Katibu wa Jimbo, Siwema Hassan – Afisa Mipango na Uchaguzi, Mwajabu Khatibu – Mwenyekiti Ngome ya Wanawake Jimbo, Mohamed Hamisi – Katibu Ngome ya Wazee Jimbo na Lazaro Leonard – Katibu wa Kata tya Kwidibom.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Mwabukusi awaomba wanasheria kususia uchaguzi TLS

Spread the loveWakili Boniface Mwabukusi amesema kitendo cha kuenguliwa kugombea Urais wa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yajidhatiti kuendelea kuimarisha uhusiano wa kibiashara kati ya Tz, Comoro

Spread the loveBenki ya NMB imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kuimarisha uhusiano...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ufaransa wapiga kura katika duru ya pili ya uchaguzi

Spread the loveWapiga kura nchini Ufaransa leo Jumapili wanapiga kura katika duru...

BiasharaHabari Mchanganyiko

TCB yaahidi kushirikiana na Serikali kuwezesha miradi ya kimkakati ikiwemo ushirika

Spread the loveBENKI ya biashara ya Taifa (TCB) imesema itaendelea kuunga mkono...

error: Content is protected !!