Saturday , 18 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Biteko asisitiza umuhimu wa EREA sekta ya nishati
Habari Mchanganyiko

Biteko asisitiza umuhimu wa EREA sekta ya nishati

Spread the love

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amekutana na kuzungumza na Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Udhibiti wa huduma za Nishati kwa nchi za Afrika Mashariki (EREA), Dk. Geoffrey Mabea leo tarehe 26 Februari 2024 jijini Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Kikao hicho kimejadili masuala mbalimbali ya nishati kwa nchi wanachama na umuhimu wa kujenga uwezo wa Wataalam katika Sekta ya Nishati ili kuongeza tija na huduma bora kwa wananchi.

Kikao hicho kimehudhuriwa na Waziri wa Maji, Nishati na Madini wa Zanzibar, Shaib Kaduara na Wataalam kutoka EREA.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Lissu akabidhiwa gari lake, aomba msaada wa matengenezo

Spread the loveMakamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu leo Ijumaa amekabidhiwa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yazindua bima ya afya kwa wakulima

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na kampuni...

Habari Mchanganyiko

Makamba awasili China kwa ziara ya kikazi

Spread the loveWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,...

Habari Mchanganyiko

Ethiopia yafungua njia ujenzi wa ubalozi Dodoma

Spread the loveSerikali ya Tanzania imeipongeza Serikali ya Ethiopia kwa kuweka historia...

error: Content is protected !!