Friday , 26 April 2024
Home Kitengo Michezo Malinzi, Mwesigwa bado ngoma mbichi
MichezoTangulizi

Malinzi, Mwesigwa bado ngoma mbichi

Spread the love

JAMAL Malinzi, Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Katibu wake, Selestine Mwesigwa sambamba na Mhasibu wa shirikisho hilo, Nsiande Isawafo wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Jumatatu katika mwendelezo wa kesi yao, anaandika Mwandishi Wetu.

Wahusika hao wamesomewa mashitaka yao na kisha kurejeshwa rumande kutokana na upelelezi kutokamilika ambapo sasa watarejeshwa mahakamani Agosti 11, mwaka huu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

error: Content is protected !!