Sunday , 3 December 2023
Home Kitengo Michezo Malinzi, Mwesigwa bado ngoma mbichi
MichezoTangulizi

Malinzi, Mwesigwa bado ngoma mbichi

Spread the love

JAMAL Malinzi, Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Katibu wake, Selestine Mwesigwa sambamba na Mhasibu wa shirikisho hilo, Nsiande Isawafo wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Jumatatu katika mwendelezo wa kesi yao, anaandika Mwandishi Wetu.

Wahusika hao wamesomewa mashitaka yao na kisha kurejeshwa rumande kutokana na upelelezi kutokamilika ambapo sasa watarejeshwa mahakamani Agosti 11, mwaka huu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoTangulizi

20 wafariki dunia kwa mafuriko Manyara

Spread the loveMVUA za vuli zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini zimeleta madhara...

Michezo

Manchester City dhidi ya Tottenham ni usiku wa kisasi

Spread the love KIPUTE kati ya klabu ya Manchester City dhidi yaTottenham Hotspurs...

Michezo

Wikiendi ya kutamba na Meridianbet hii hapa usikubali kuikosa

Spread the loveMERIDIANBET wanakwenda kukupa nafasi ya kutambawikiendi hii kupitia ODDS KUBWA walizoweka...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu aanika matobo miswada sheria za uchaguzi

Spread the loveMAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu...

error: Content is protected !!