Tuesday , 23 April 2024
Home Kitengo Michezo Malinzi, Mwesigwa bado ngoma mbichi
MichezoTangulizi

Malinzi, Mwesigwa bado ngoma mbichi

Spread the love

JAMAL Malinzi, Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Katibu wake, Selestine Mwesigwa sambamba na Mhasibu wa shirikisho hilo, Nsiande Isawafo wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Jumatatu katika mwendelezo wa kesi yao, anaandika Mwandishi Wetu.

Wahusika hao wamesomewa mashitaka yao na kisha kurejeshwa rumande kutokana na upelelezi kutokamilika ambapo sasa watarejeshwa mahakamani Agosti 11, mwaka huu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

Michezo

Ujanja ni kubeti na Meridianbet

Spread the love  JUMAPILI ya leo imekaa kihela hela sana ndani ya...

Michezo

Anza Jumamosi yako na mkwanja wa Meridianbet

Spread the loveJumamosi ya leo ODDS zimekaa kijanja sana ndani ya Meridianbet...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

error: Content is protected !!