Thursday , 4 July 2024
Home Habari Mchanganyiko TRA Morogoro kuwafikisha mahakamani wafanyabiashara 27
Habari Mchanganyiko

TRA Morogoro kuwafikisha mahakamani wafanyabiashara 27

Meneja wa TRA Morogoro, Sylver Rutagwelera
Spread the love

MAMLAKA ya mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Morogoro inatarajia kuwafikisha mahakamani wafanyabiashara 27 kwa kutozingatia matumizi ya mashine za Kielektroniki (EFD). Anaripoti Christina Cosmas, Morogoro … (endele).

Meneja wa TRA mkoani hapa Sylver Rutagwelera alisema wafanyabiashara hao ni pamoja na wanaokataa kutoa risiti za EFD kwa wateja, wanaojaribu kuwatoza wanunuzi fedha za ziada ili wawapatie risiti za kielektroniki na wanaodaiwa madeni ya muda mrefu.

Rutagwelera alisema wafanyabiashara hao ni pamoja na wenye maduka ya nguo, vyombo vya ndani na bidhaa zingine ambao wamefuatiliwa kwa muda wa miaka mitatu mfululizo kuanzia mwaka 2022/24 ambapo zoezi hilo ni endelevu.

Alisema tayari kesi tisa zimeshaingia katika mfumo wa mahakama na zingine zitaingizwa na kufikia 27 na kwamba 21 ni kwa ajili ya kukiuka matumizi ya EFD, kutolipa adhabu wanazopewa, wanaandikiwa barua hawajiri.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Biteko awataka Watanzania kulinda viumbe hai baharini

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

BiasharaHabari MchanganyikoHabari za Siasa

Rais Samia, Nyusi wapongeza mkakati wa utanuzi PBZ, yakaribishwa kufungua tawi Msumbiji

Spread the loveRais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amepongeza jitihada zinazofanywa na...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Bwire Mtendaji mpya DAWASA

Spread the loveMhandisi Mkama Bwire ameteuliwa kushika nafasi ya Kaimu Afisa Mtendaji...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Rais Samia aahidi ushirikiano Rais mpya TEC

Spread the loveWaziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan amesisitiza...

error: Content is protected !!