Sunday , 7 July 2024
Home Habari Mchanganyiko TRA Morogoro kuwafikisha mahakamani wafanyabiashara 27
Habari Mchanganyiko

TRA Morogoro kuwafikisha mahakamani wafanyabiashara 27

Meneja wa TRA Morogoro, Sylver Rutagwelera
Spread the love

MAMLAKA ya mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Morogoro inatarajia kuwafikisha mahakamani wafanyabiashara 27 kwa kutozingatia matumizi ya mashine za Kielektroniki (EFD). Anaripoti Christina Cosmas, Morogoro … (endele).

Meneja wa TRA mkoani hapa Sylver Rutagwelera alisema wafanyabiashara hao ni pamoja na wanaokataa kutoa risiti za EFD kwa wateja, wanaojaribu kuwatoza wanunuzi fedha za ziada ili wawapatie risiti za kielektroniki na wanaodaiwa madeni ya muda mrefu.

Rutagwelera alisema wafanyabiashara hao ni pamoja na wenye maduka ya nguo, vyombo vya ndani na bidhaa zingine ambao wamefuatiliwa kwa muda wa miaka mitatu mfululizo kuanzia mwaka 2022/24 ambapo zoezi hilo ni endelevu.

Alisema tayari kesi tisa zimeshaingia katika mfumo wa mahakama na zingine zitaingizwa na kufikia 27 na kwamba 21 ni kwa ajili ya kukiuka matumizi ya EFD, kutolipa adhabu wanazopewa, wanaandikiwa barua hawajiri.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Serikali yakanusha kuchelewa kutoa vibali vya uagizaji wa sukari

Spread the loveBODI ya Sukari Tanzania imekanusha taarifa za kuchelewa kutoa vibali...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Uamuzi wa serikali kuwapa wafanyabiashara vibali vya uagizaji kulishusha bei ya sukari

Spread the loveUamuzi wa Serikali ya Tanzania kutoa vibali vya uagizaji wa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

TAWA yakaribisha Watanzania, wageni kuwekeza kwenye sekta ya utalii nchini

Spread the loveMAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) iimetoa wito kwa...

error: Content is protected !!