Friday , 19 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Naibu waziri Gekul aipa somo TCRA

  SERIKALI ya Tanzania, imeitaka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuhakikisha inasimamia vyema mfumo wa mtandao, ili kuhakikisha maudhui mtandaoni yanasalia yenye manufaa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Dk. Mpango awaamsha wananchi Mtwara dhidi ya ugaidi Msumbiji

  MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Phillip Mpango, amewataka wananchi wa Mkoa wa Mtwara, kuwa makini dhidi ya wanamgambo wa kundi la...

Habari Mchanganyiko

RC Dar: Kila mtu avae barakoa kwenye daladala, sokoni

  MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC) nchini Tanzania, Amos Makalla amepiga marufuku wananchi mkoani humo kuingia kwenye vyombo vya usafiri...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaja na mikakati kupeleka mawasiliano mipakani

  SERIKALI ya Tanzania, imeanzisha mikakati ya kumaliza changamoto za mawasiliano, katika maeneo ya pembezoni mwa nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

Habari Mchanganyiko

Tajirika yainua kiuchumi wakulima 2,000

  WAKULIMA 2,176 katika Mkoa  Morogoro, Iringa na Jombe, wamenufaika na mafunzo stadi katika kilimo  na ufugaji, yaliyotolewa kupitia mradi wa Tajirika na...

Habari Mchanganyiko

Waziri awataka mafundi sanifu kujisajili ERB

  WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi nchini Tanzania, Dk. Leonard Chamuriho amewataka mafundi sanifu 15,260 ambao wamehitimu katika vyuo mbalimbali nchini kujisajili kwa...

Habari Mchanganyiko

Spika Ndugai awashukia wapinga tozo miamala ya simu

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, amewataka watu wanaopinga tozo ya miamala ya simu, waeleze njia mbadala itakayowezesha Serikali kupata fedha...

Habari Mchanganyiko

Mbowe apate pigo jingine, baba yake mdogo afariki dunia

  MANASE Alphayo Mbowe, baba mdogo wa Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Freeman Mbowe, amefariki dunia asubuhi ya leo Ijumaa,...

Habari Mchanganyiko

Wajane, watoto wadai kuporwa ardhi “Rais Samia tusaidie”

  WANAWAKE wawili na watoto wao wa familia ya Marehemu Amiri Mrisho wa Dar es Salaam wamemuomba Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan...

AfyaHabari Mchanganyiko

Chanjo Covid-19 yaingia rasmi Tanzania, wananchi waitwa

  SERIKALI ya Tanzania, imesema chanjo ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu, inayosababishwa na Virusi vya Corona (Covid-19), imeshaingia...

Habari Mchanganyiko

Wakulima Njombe walia na bei za pembejeo

  WAKULIMA wa Mkoa wa Njombe, wamefikisha kilio cha bei kubwa za pembejeo serikalini, wakitaka ipungue. Anaripoti Mwandishi Wetu, Njombe … (endelea). Wakulima...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Tumedhamiria kuboresha miundombinu ya bandari

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, Serikali imedhamiria kuboresha miundombinu ya bandari ili kuvutia idadi kubwa ya watumiaji zikiwemo nchi za...

Habari Mchanganyiko

Watu 275 wakamatwa tuhuma za mauaji

  JESHI la Polisi nchini Tanzania, linawashikilia watu 275 kwa tuhuma za mauaji, yaliyotokea nchi nzima kuanzia Mei hadi Julai 2021. Anaripoti Regina...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia atoa mil 100 ujenzi wa paa soko la Machinga Complex

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa Sh.100 milioni kwa ajili ya ujenzi wa paa la kisasa la kuzuia jua na mvua...

Habari Mchanganyiko

Bosi Nida akalia kuti kavu, Waziri Simbachawene asema…

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene, amemtaka Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dk. Anold Kihaule,...

Habari Mchanganyiko

Watumishi TRA, Polisi kizimbani tuhuma dawa za kulevya

  WATUMISHI watatu wa Serikali na wengine watano, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, kwa tuhuma za kujihusisha...

Habari Mchanganyiko

Mwalimu mkuu adaiwa kuchukua rushwa laki nne ili mwanafunzi asiendelee na masomo

  TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Dodoma, leo Jumatatu, tarehe 19 Julai 2021, inamfikisha mahakama Maliselo Kapampa Saveli...

Habari Mchanganyiko

NMB yamwaga misaada Mara, RC Hapi “hatutaanzisha makambi ya wanafunzi”

  MKUU wa Mkoa wa Mara (RC), Ally Hapi amesema, mkoa huo hauna mpango wa kuanzisha makambi ya wanafunzi kwa ajili ya kuwaandaa...

Habari Mchanganyiko

Kigogo PPRA afariki dunia

  AFISA Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA), Mhandisi Leonard Kapongo, amefariki dunia jioni ya jana, tarehe 17...

Habari Mchanganyiko

Polisi wataja chanzo mauaji Sinza

  JESHI la Polisi  Kinondoni, Mkoa wa Dar es Salaam, limesema chanzo cha tukio la mauaji ya watu wawili katika Baa ya Lemax...

Habari Mchanganyiko

Meneja asimulia A-Z tukio la mauaji Sinza “muuaji alikuwa na kinyongo”

  MENEJA WA Baa ya Lemax iliyopo Sinza kwa Remi mkoani Dar es Salaam, Godlisten Augustine, amesimulia tukio la mauaji ya watu wawili...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mwanamke anayetuhumiwa kumchomea ndani kwa petroli mpenzi wake akamatwa

  POLISI Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Grace Janes Mushi (25), kwa tuhuma za kumchoma moto ndani ya nyumba aliyekua mpenzi...

Habari Mchanganyiko

Polisi Dar yawashikilia 40, wanne tuhuma za mauaji

  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam nchini Tanzania, linawashikilia watu 40 kwa makossa mbalimbali ya unyan’ganyi wa kutumia nguvu...

Habari Mchanganyiko

Waganga 16 mbaroni, wengine wasakwa

  JESHI la Polisi Kanda ya Magharibi, limewakamata waganga wa kienyeji 16, wanaotuhumiwa kufanya shughuli zao kinyume cha sheria. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kodi ya mitandao ya simu ‘Mshikamano’ yazua mjadala

  KODI ya mitandao ya simu imeibua mjadala, baada ya kupingwa kila kona na baadhi ya watu, kwa maelezo kwamba itaumiza wananchi hasa...

Habari Mchanganyiko

Kodi ya mitandao ya simu ‘Mshikamano’ yazua mjadala

  KODI ya mitandao ya simu imeibua mjadala, baada ya kupingwa kila kona na baadhi ya watu, kwa maelezo kwamba itaumiza wananchi hasa...

Habari Mchanganyiko

Ofisa wa Serikali aficha mamilioni ‘hadi kwenye friji’

  VITA dhidi ya dawa za kulevya imelipuka upya nchini Tanzania, baada kuanza kufahamika kwa mtandao wa watumishi ndani ya taasisi za umma,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mabilionea walioanza maisha kwa kazi za kawaida

  INAELEZWA kila mtu anazaliwa tajiri, pia masikini. Utajiri au umasikini wake unategemea na mazingira anayokulia, lakini inategemea zaidi na yeye mwenyewe. Anaripoti...

AfyaHabari Mchanganyiko

COVID-19: The Legacy kugawa matenki ya maji shule K’ndoni

  WAKATI dunia ikiendeleza mapambano dhidi ya maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19), Taasisi ya My Legacy nchini Tanzania, imetoa wito kwa wananchi...

Habari MchanganyikoTangulizi

“Mkapa alidhibiti Ukimwi, aligusa maisha ya Watanzania Mil. 20”

ALIYEKUWA Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tatu, Hayati Benjamin Mkapa, ametajwa kuwa na mchango mkubwa katika kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa Upungufu...

Habari Mchanganyiko

NMB yachangia maendeleo Z’bar, Rais Mwinyi atoa neno

  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameipongeza Benki ya NMB kwa kuchangia maendeleo visiwani humo....

Habari Mchanganyiko

Wanaotiririsha majitaka Mabibo wapewa siku 7

  MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) na Manispaa ya Ubungo, wametoa siku saba kwa wananchi wanaotiririsha majitaka...

Habari Mchanganyiko

Mufti Zubeir: Eid El-Adh’aa Julai 21

  MUFTI wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir amesema, Sikukuu ya Eid El-Adh’haa itakuwa Jumatano ijayo tarehe 21 Julai 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari Mchanganyiko

Simbachawene: Jeshi la Zimamoto semeni matatizo yenu

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani wa Tanzania, George Simbachawene, amelitaka Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, kueleza changamoto zinazokwamisha utekelezaji majukumu yake mapema,...

Habari Mchanganyiko

RC Dar asimulia A-Z tukio la moto Kariakoo “yangetokea maafa makubwa”

  MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC) nchini Tanzania, Amos Makalla, amesema kama juhudi za kuudhibiti moto katika Soko Kuu la...

Habari Mchanganyiko

Moto K’koo: Masoko, sehemu za mikusanyiko kukaguliwa

  SERIKALI ya Tanzania, imeagiza wakuu wa mikoa (RC) kwa kushirikiana na Jeshi la Zima Moto na Uokoaji katika meneo yao, kufanya ukaguzi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Moto Kariakoo waliza wafanyabiashara 224

  SERIKALI ya Tanzania imesema, wafanyabiashara takribani 224, wameathirika na tukio la Soko Kuu la Kariakoo, jijini Dar es Salaam, kuungua moto. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

NMB yaanzisha utaratibu kuweka akiba

  BENKI ya NMB imeanzisha huduma maalum kwa wateja wao kujiwekea akiba kila wanapofanya mialama. Anaipoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Rais Samia aagiza uchunguzi moto shule za dini

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama kwa kushirikiana na Jumuiya za Kiislamu Tanzania kutafuta chanzo cha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Moto soko la K’koo: Rais Samia atoa pole, maagizo

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa pole kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla na wafanyabiashara wa Soko...

Habari MchanganyikoTangulizi

Majaliwa akagua moto soko la Kariakoo, atoa siku 7

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kaasim Majaliwa ameipa siku saba za awali tume aliyoiunda kuchunguza chanzo cha moto katika soko la kimataifa la...

Habari Mchanganyiko

Haya hapa matokeo kidato cha sita, ualimu 2021

  BARAZA la Mitihani Tanzania (NACTE), limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha sita na ualimu, iliyofanyika Mei 2021. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mtaka apiga ‘Stop’ daladala kusimamisha abiria, kisa Covid-19

  MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka, amepiga marufuku mabasi ya abiria ‘daladala’, kusimamisha abiria, ili kudhibiti maambukizi ya mlipuko wa ugonjwa...

Habari Mchanganyiko

Ongezeko wagonjwa wa Covid-19: Ma-RC, DC wapewa maagizo

  SERIKALI imewaagiza wakuu wa mikoa (RC) na wa wilaya (DC), waandae mikakati ya kudhibiti maambukizi ya wimbi la tatu, la ugonjwa wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Cyprian Musiba aingia mitini, wafanyakazi wake kumburuza kortini

  WAFANYAKAZI wa Kampuni ya CZ Information and Media, wanatarajia kumpeleka mahakamani mmiliki wa kampuni hiyo , Cyprian Musiba, kwa madai ya kutowalipa...

Habari Mchanganyiko

Baraza la NGO’s laomba kuonana na Rais Samia

  BARAZA la Taifa la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), nchini Tanzania- NACONGO, limeomba kufanya mazungumzo na Rais Samia Suluhu Hassan, ili kutafuta...

Habari Mchanganyiko

Kodi huduma za mitandaoni yaja

  WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaanzisha ushuru wa huduma za mitandaoni ‘Digital Service Tax’. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Prof. Juma, Dk. Hoseah wataka Kingereza ‘kisitoswe’ kimahakamani

  JAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma na Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Dk. Edward Hoseah, wamewashauri mawakili na...

Habari Mchanganyiko

RC Dar ayapa masharti mabasi yaendayo mikoani

  MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam, Amos Makalla, ameagiza wamiliki wa mabasi yaendayo mkoani, wafuate utaratibu wa kupakia na kushusha abiria...

Habari Mchanganyiko

Baraza la NGO’s lapata viongozi wapya, wakabidhiwa majukumu

  BARAZA la Taifa la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NACONGO), limepata viongozi wapya kupitia uchaguzi wake uliofanyika jana tarehe 8 Julai 2021, jijini...

error: Content is protected !!