Wednesday , 24 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Mhandisi Mfugale kuzikwa Julai 5 Iringa

  MWILI wa aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Mhandisi Patrick Mfugale, unatarajiwa kuzikwa Jumatatu ya tarehe 5 Julai 2021,...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yataja sekta sita kinara utoaji ajira

  SERIKALI ya Tanzania imetaja sekta sita zilizo kipaumbele katika kutoa nafasi za ajira nchini. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Kisa corona: Majaliwa atoa masharti saba, ndege kusitishwa

  KASSIM Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania, amebainisha mambo saba ambayo wananchi wanapaswa kuyazingatia ili kuchungua tahadhari ya kujikinga na maambukizi ya corona...

Habari Mchanganyiko

Joto kali lauwa watu 130 Canada

  WATU zaidi ya 130 wameripotiwa kufariki dunia nchini Canada, baada ya kuathiriwa na joto kali lililoikumba nchi hiyo tangu Jumatatu ya tarehe...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia amlilia Mhandisi Mfugale

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Mhandisi...

AfyaHabari Mchanganyiko

IMF yaiahidi neema Tanzania

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Idara ya Afrika, Abebe Aemro Selassie kutoka Shirika la Fedha Duniani...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mfugale wa Tanroads afariki dunia

  MTENDAJI Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Mhandisi Patrick Mfugale amefariki dunia leo Jumanne, tarehe 29 Juni 2021, jijini Dodoma. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

THRDC yawanoa wanachama wake, yawapa masharti

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu nchini Tanzania (THRDC), umefanya semina ya kuwajengea uwezo wanachama wake wapya 70. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Msigwa: Tutatoa leseni kwa magazeti yaliyofungiwa, Kubenea atoa neno

  MKURUGENZI wa Idara ya Habari-Maelezo nchini Tanzania, Gerson Msigwa amesema, wako tayari kutoa leseni kwa magazeti yote yaliyofungiwa ili yaanze kufanya kazi....

Habari Mchanganyiko

Mama Salma Kikwete alilia maji jimboni mwake, waziri amjibu

  MBUNGE wa Mchinga mkoani Lindi (CCM), Mama Salma Kikwete,ameiomba Serikali ipeleke maji safi na salama kwa wananchi wa jimbo hilo. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia: Mawio, MwanaHALISI, Mseto yapewe leseni

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema magazeti yote yaliyofungiwa na kumaliza adhabu zao, wapewe leseni ili waendelee na majukumu yao. Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia: Tunawagonjwa wa corona zaidi 100

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, zaidi ya wagonjwa 100 wa maambukizi corona (COVID-19), wamebainika nchini humo na wanaendelea na matibabu....

Habari Mchanganyiko

Askofu Bagonza: Ulimwengu umejaa unafiki, kujipendekeza

  ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera, Dk. Benson Bagonza, amesema ulimwengu umejaa unafiki,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mamia wamuaga Padri Karugendo

  MAMIA ya watu wameuaga mwili wa aliyekuwa mwandishi na mchambuzi wa masuala ya kisiasa nchini Tanzania, Padri Privatus Karugendo (65). Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

THRDC, LHRC zafurahia uongozi wa Rais Samia

  SIKU 100 za uongozi wa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, zinaelezwa kutoa ahueni katika Mshirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) nchini humo....

Habari MchanganyikoTangulizi

Ndoa ya Mbunge, mtoto wa Mbunge yaingia mdudu

  NDOA ya Mbunge wa Korogwe Vijijini (CCM), Timotheo Mnzava na mchumba wake, Caroline Pallangyo, ambaye ni mtoto wa Mbunge wa Arumeru Mashariki,...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yaongeza kasi mapambano ya mihadarati

  SERIKALI ya Tanzania, imeongeza nguvu kwenye mapambano dhidi ya dawa za kulevya. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Kauli hiyo imetolewa na...

Habari Mchanganyiko

Zambia kuwakosesha ajira 30,000 Tanzania

  IWAPO Kanuni za Usafirishaji Mizigo Mizito na Kichele za nchini Zambia zitaanza kutumika, zaidi wa Watanzania 30,000 wana hatihati ya kukosa ajira....

Habari Mchanganyiko

TRA yaaanza mchakato somo la kodi lifundishwe shuleni

  MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia wanafanya mazungumzo ya kuwezesha somo la ulipaji kodi...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia aagiza mabaraza ya biashara yafufuliwe

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewaagiza wakuu wa mikoa na wilaya, kufufua mabaraza ya biashara katika maeneo yao. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sheikh Farid: Nilitishwa

  SHEIKH Farid Had, mmoja wa viongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislam visiwani Zanzibar (JUMIK) alipokuwa gerezani Zanzibar, ameeleza alitolewa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia atoa tahadhari wimbi la tatu la Covid-19

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka Watanzania kuchukua tahadhari dhidi ya mlipuko wa tatu wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Maaskofu wambebesha mizigo Rais Samia

  BARAZA la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), limemuomba Rais wa Awamu ya Sita, Samia Suluhu Hassan, apitie upya sera ya ushirikiano baina ya...

Habari Mchanganyiko

Muarobaini wizi wa dawa za Serikali waja

SERIKALI iko katika hatua za mwisho za maandalizi ya mfumo wa kielektroniki,  wa kufuatilia usambazaji wa dawa katika hospitali, vituo vya afya na...

Habari Mchanganyiko

RC Makalla ataka barakoa kuvaliwa Dar

  MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Amos Makalla, amewataka wananchi mkoani humo kuchukua tahadhari ya maambukuzi ya corona (COVID-19), kwa...

Habari Mchanganyiko

Waziri Majaliwa mgeni rasmi kilele cha dawa za kulevya

  KASIM Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimishi ya kilele cha dawa za kulevya duniani tarehe 26 Juni...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia kushiriki mkutano SADC Msumbiji

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, yupo Maputo nchini Msumbiji kwa ajili ya kuhudhuria mkutano wa dharura wa Wakuu wa Nchi na...

Habari Mchanganyiko

Spika Ndugai aota uchaguzi 2025

  SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amesema, mwenendo wa utendaji wa Serikali ya Awamu ya Sita, katika kutenga fedha za miradi ya maendeleo,...

Habari Mchanganyiko

THRDC kuzindua mpango mkakati wa maendeleo

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), unatarajia kuzindua mpango mkakati wa Asasi za Kiraia (Azaki), wa utekelezaji Mpango wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Dk. Mwigulu aeleza makato lini za simu yatakavyokuwa

  WAZIRI wa Fedha na Mipango nchini Tanzania, Dk. Mwigulu Nchemba, amefafanua jinsi kodi ya lini ya simu itakavyolipwa na watumiaji huku akiwaomba...

Habari Mchanganyiko

LHRC yalaani mauaji ya kinyama Tabora

  KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu Tanzania (LHRC), kimeiomba Serikali ya Tanzania, kuwachukulia hatua watu waliohusika katika tukio la mauaji ya...

Habari Mchanganyiko

Bajeti 2021/22 kupitishwa? Spika Ndugai atoa onyo

Bajeti 2021/22 kupitishwa? Spika Ndugai atoa onyoMJADALA wa Bajeti ya Serikali ya Tanzania kwa mwaka 2021/22 ya Sh.36.3 Trilioni, unahitimishwa leo Jumanne, tarehe...

Habari Mchanganyiko

Magari matatu yagongana Moro, watano wafariki

  WATU watano wamefariki dunia, katika ajali iliyohusisha magari matatu ikiwemo basi dogo la abiria ‘Costa’ iliyotokea eneo la Nanenane mkoani Morogoro jana...

Habari Mchanganyiko

Mahakama Kuu yamrejeshea Fatma Karume uwakili

  MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imefuta uamuzi wa Kamati ya Maadili ya Mawakili Tanganyika, wa kumfuta uwakili, Mwanaharakati...

Habari Mchanganyiko

Mauaji ya kinyama Tabora: Polisi ‘wagomea’ tuhuma

  JESHI la Polisi mkoani Tabora, limedai mauaji ya mtoto Nyanzobhe Mwandu (4), yaliyotokea tarehe 16 Juni 2021, yalipangwa. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kherry James atoa ahidi nzito

  SIKU mbili baada ya kuteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Dar es Salaam, Kherry James amesema ‘sintokuwa mtawala bali mtumishi wa...

Habari Mchanganyiko

Mchungaji EAGT ataja muarobaini ukali gharama za matibabu

  MCHUNGAJI wa Kanisa la Evangelist Assemblies of God (EAGT), Nason Manyere, amewashauri Watanzania kujiunga na bima ya afya, ili kuepukana na mzigo...

Habari Mchanganyiko

Naibu Waziri Waitara awahakikishia neema Wakandarasi wazawa

  NAIBU Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mwita Mwaikabe Waitara, amewataka wakandarasi wazawa nchini kujiepusha na vitendo vya rushwa wakati wa kuomba na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Benki ya NMB yatoa gawio la 21.8 bilioni kwa Serikali

  SERIKALI imepokea gawio la kiasi cha Sh. 21.8 bilioni, kutoka benki ya makabwela – National Microfinance Bank (NMB) – ikiwa  ni sehemu...

Habari Mchanganyiko

RC Shigela awaonya maofisa ugani wasiokuwa na mashamba darasa

  MKUU wa mkoa wa Morogoro, Martin Shigela amewata maofisa ugani kutumia taaluma yao kivitendo kwa kuweka mashamba darasa na kuwapa elimu wakulima...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa ashuhudia ‘madudu’ EPZA, awasimamisha wawili

  WAZIRI MKUU wa Tanzania, Kassim Majaliwa amefanya ziara katika Mamlaka ya Maeneo Maalum ya Uwekezaji kwa Mauzo ya Nje (EPZA) akisema, hajaridhishwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sabaya asomewa shtaka la kumpora diwani CCM Sh. 390,000

  LENGAI Ole Sabaya, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro na wenzake wawili, wamesomewa mashtaka mawili ikiwemo unyang’anyi wa kutumia silaha,...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia akutana na mwekezaji Ikulu, atoa maagizo

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na Mwenyekiti wa kampuni za Wilmar International ya Singapore, Kuok Khoon Hong....

Habari Mchanganyiko

DPP awafutia kesi uhujumi uchumi Wachina 6

  MKURUGENZI wa Mashtaka nchini (DPP), Sylvester Mwakitalu, amewafutia shtaka la uhujumu uchumi raia sita wa China, wanaofanya kazi katika Kampuni ya Meli...

Habari Mchanganyiko

Mchungaji Msigwa amlipua Spika Ndugai, yeye ajibu

  ALIYEKUWA Mbunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika jimbo la Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa, amemtuhumu Spika wa Bunge la...

Habari MchanganyikoKimataifa

Kifo cha Kaunda: Tanzania yatangaza siku 7 za maombolezi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametangaza siku saba za maombolezo ya kitaifa kufuatia kifo cha Rais wa kwanza wa Zambia, Kenneth...

Habari Mchanganyiko

Rais wa kwanza Zambia, Keneth Kaunda afariki dunia

  RAIS wa kwanza wa Zambia, Keneth Kaunada amefariki dunia, leo mchana Alhamisi, tarehe 17 Juni 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kaunda mwenye miaka...

Habari Mchanganyiko

Masheikh Uamsho wafanyiwa uchunguzi Hospitali

  MASHEIKH wawili wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), wameanza kufanyia uchunguzi wa afya zao, baada ya kutoka mahabusu,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Masheikh Uamsho wamwangukia Samia, waeleza walivyotoswa na JK, JPM

  MASHEIKH 18 wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), wameeleza namna Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete na aliyekuwa Rais wa...

Habari Mchanganyiko

Serikali yatoa maagizo kwa taasisi za dini, NGO’s

  SERIKALI ya Tanzania, imeziagiza Taasisi za Dini na Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), kufuata taratibu za kupata misamaha ya kodi, katika misaada...

error: Content is protected !!