Friday , 19 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Bil. 40 kupunguza uhaba wa mbegu

  SERIKALI ya Tanzania, imepanga kutumia Sh. 40 bilioni, kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji, kwenye mashamba ya uzalishaji wa mbegu...

Habari Mchanganyiko

Bulaya alilia mradi wa maji uliokwama miaka 13

  MBUNGE Viti Maalum asiye na chama bungeni, Ester Bulaya, amehoji lini Serikali itapeleka maji katika vijiji vilivyopitwa na Mradi wa Maji wa...

AfyaHabari Mchanganyiko

Hospitali ya Rorya kuanza upasuaji Desemba 2021

  SERIKALI ya Tanzania imesema, Hospitali ya Halmashauri ya Rorya mkoani Mara, inatarajiwa kuanza kazi rasmi mwezi Desemba 2021. Anaripoti Jemima Samwel, DMC...

Habari Mchanganyiko

Watatu mbaroni tuhuma za mauaji

  WATU watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Mbeya, kwa tuhuma za kumuuwa Elizabeth Mwaike. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mbeya…(endelea). Taarifa hiyo imetolewa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa ataka mikakati kuitangaza Serengeti

  WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka viongozi wa Mkoa wa Mara na Wwatendaji katika Sekta ya Utalii waweke mikakati ya kuitangaza Mbuga ya...

Habari Mchanganyiko

Sakata mahindi yenye sumu lawaibua TPSF

  SAKATA la kuzuiwa kwa mahindi yaliyodaiwa kuwa na sumu kuvu, katika mpaka wa Namanga mkoani Arusha, unaounganisha nchi ya Kenya na Tanzania,...

Habari Mchanganyiko

Tumthamini mwanamke, kulinda utu wake

  WAKATI leo tarehe 28 Mei 2021, dunia ikiadhimisha siku ya hedhi, bado jamii inahitaji uelewa mpana kuhusu suala zima la hedhi salama...

Habari Mchanganyiko

Spika ashangaa vijiji kukosa umeme

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, ameshangazwa na kitendo cha Tarafa ya Mungaa, iliyoko katika Jimbo la Singida Mashariki, mkoani Singida,...

Habari Mchanganyiko

Kigogo Bandari aliyetoroka, apandishwa kizimbani kwa utakatishaji fedha

  ALIYEKUWA Mhasibu katika Bandari ya Kigoma, Madaraka Robert Madaraka, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kigoma, kwa tuhuma za utakatishaji fedha na...

Habari Mchanganyiko

Tuhuma za rushwa: Mwenyekiti CCM akwepa jela, alipa faini

  MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tawi la Maisaka mkoani Manyara, Bakari Yangu, amekwepa kifungo cha miaka miwili gerezani, kwa kulipa faini...

Habari MchanganyikoTangulizi

Zuio NGOs kuishtaki Serikali Afrika: Samia aonesha matumaini

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema atalifanyia kazi ombi la kuitaka Tanzania ibadili msimamo wake, wa kujitoa kwenye azimio linaloruhusu Mashirika Yasiyo ya...

Habari Mchanganyiko

Bajeti ya ardhi 2021/22 yapungua kwa 64.2%

  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii, imesema bajeti ya maendeleo katika Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya...

Habari Mchanganyiko

AfDB yatoa Bil. 323.4 mradi wa umeme Malagarasi

  BENKI ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), imeikopesha Serikali ya Tanzania Dola za Marekani 140 (Sh. 323.4 bilioni), kwa ajili ya utekelezaji mradi...

Habari Mchanganyiko

Serikali yamjibu Nape kuhusu sakata la korosho

  SERIKALI ya Tanzania, imesema italifanyia kazi ombi la kurejesha fedha za tozo ya mauzo ya nje ya nchi (Exporty Levy), ya zao...

Habari Mchanganyiko

Watano mbaroni kwa tuhuma za mauaji Dar

  Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linawashikilia watu watano, wanaotuhumiwa kumuuwa aliyekuwa mlinzi wa Baa, Regan Sylvester. Anaripoti Jemima...

Habari Mchanganyiko

Mrithi wa Mambosasa akunjua makucha

KAMANDA wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Camillius Wambura, amesema ameanzisha operesheni maalum ya kupambana na wahalifu wanaotumia...

Habari Mchanganyiko

RC Dar aanza na majambazi

  MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla, amewaonya watu wanaojihusisha na uhalifu wa kutumia silaha (ujambazi), kwamba wasipoacha atawaonyesha ‘Show’....

Habari Mchanganyiko

Majaliwa ataka utafiti mabadiliko ya teknolojia

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa taasisi za elimu nchini, kufanya utafiti juu ya mabadiliko ya teknolojia, ili kubaini...

Habari Mchanganyiko

Bunge laishauri Serikali imalizie viporo fedha za korosho

  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, imeishauri Serikali imalize kulipa madeni ya fedha za korosho, ilizonunua kwenye msimu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia ateta na Dangote, atoa maagizo

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemuagiza Waziri wa Uwekezaji, Geoffrey Mwambe na Waziri wa Viwanda na Biashara, Prof. Kitila Mkumbo, watatue...

Habari MchanganyikoTangulizi

CAG Zanzibar abaini madudu, Rais Mwinyi atoa maagizo

  RAIS wa Zanzibar,Dk. Hussein Mwinyi ameagiza watu waliohusika katika ubadhirifu wa fedha za umma, uliofichuliwa kwenye Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu...

Habari Mchanganyiko

Tanzania kufanya Sensa ya watu 2022, Majaliwa atoa ujumbe

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Watanzania, kutoa ushirikiano wa kutosha ili kufanikisha utekelezaji wa shughuli ya Sensa ya Watu na...

Habari Mchanganyiko

Sabaya mafichoni

  ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai (DC), mkoani Kilimanjaro, Lengai ole Sabaya, yuko mafichoni, akitafakari hatma yake ya baadaye, Raia Mwema limeelezwa....

Habari Mchanganyiko

Balile mwenyekiti mpya TEF

  DEODATUS Balile, amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) kwa miaka mitano ijayo, kwa kupata kura 57 dhidi Nevile...

Habari Mchanganyiko

Membe amshika pabaya Cyprian Musiba

  WAZIRI wa zamani wa Mambo ya Nchi za Nje na uhusiano wa kimataifa, wa Tanzania, Bernard Kamilius Membe, yuko mbioni kushinda shauri...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa ataka Hayati Magufuli aenziwe

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, ameshauri aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati John Magufuli, aenziwe kwa kutimiza ndoto yake ya uanzishwaji somo...

Habari Mchanganyiko

Mlima Nkongore kumaliza mgogoro wa wananchi, Magereza

  SERIKALI iko katika hatua za mwisho kulifanya eneo la Mlima Nkongore mkoani Mara, kuwa hifadhi ya Taifa. Anaripoti Nasra Bakari, DMC …...

Habari Mchanganyiko

Changamoto za afya: Mbunge CCM awapigania wahitimu vyuo vikuu

  MBUNGE wa Viti Maalum (CCM), Latifa Juakali ameishauri Serikali ianzishe huduma ya bima ya afya, kwa wanafunzi wa elimu ya juu na...

Habari Mchanganyiko

Mbunge aiomba Serikali isamehe madeni ya wafanyabiashara

  MBUNGE wa Mbogwe mkoani Geita (CCM), Henry Maganga, ameiomba Serikali iwafutie madeni wafanyabiashara, wenye madeni yanayotokana na ukosefu wa elimu juu ya...

Habari Mchanganyiko

Viongozi TLS wanolewa kuzikabili kesi za kikatiba, haki za binadamu

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umefanya warsha ya kuwajengea uwezo viongozi wa kanda wa Chama cha Wanasheria wa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Si sera ya Serikali kuwaonea waandishi wa habari

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, sio sera ya Serikali kuwaonea waandishi wa habari wanaotekeleza majukumu yao. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro…(endelea)....

Habari Mchanganyiko

Majaliwa atoa siku 41 taasisi za serikali zinazodaiwa na vyombo vya habari kuwalipa

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ameziagiza wizara, taasisi na mashirika ya umma yanayodaiwa na vyombo vya habari, hadi tarehe 30 Juni...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sakata kufungiwa Mawio, MwanaHALISI lafika kwa waziri mkuu, yeye ajibu

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kasim Majaliwa, ameombwa kusaidi Idara ya Habari Maelezo kuhakikisha inatenda haki kwa Magazeti yaliyofungiwa ikiwemo Mawio na MwanaHALISI....

Habari MchanganyikoTangulizi

Ujenzi bomba la mfuta: Watanzania 3,832 kulipwa bilioni 28

  WAZIRI wa Nishati nchini Tanzania, Dk. Medard Kalemani, amesema takribani Sh. 28 bilioni, zimetengwa kwa ajili ya kulipa fidia wananchi 3,832, ambao...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Tatizo la Luku: Majaliwa atoa maagizo mengine ‘wakae pembeni’

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amemuagiza Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, asiishie kuwasimamisha kwa siku kumi tu meneja wa Teknolojia...

Habari Mchanganyiko

Zuio uvuvi Kambamiti: Serikali yatoa matumaini

  SERIKALI imeagiza Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (TAFIRI), irudie upya utafiti iliyoufanya kuhusu uvuvi wa samaki aina ya Kambamiti. Anaripoti Nasra...

Habari Mchanganyiko

Vigogo Soko la Feri kitanzini

  NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega, amesema Vyombo vya Ulinzi na Usalama vinawachunguza baadhi ya viongozi wa Soko la Kimataifa...

Habari Mchanganyiko

Ununuzi korosho pasua kichwa, mbunge aiangukia Serikali

  ABDALLAH Chikota, mbunge wa Nanyamba (CCM), mkoani Mtwara (CCM), ameiomba Serikali iweke bei elekezi ya zao la korosho katika mfumo wa soko...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mashtaka 14: Masheikh Uamsho waibwaga Serikali

  MAHAKAMA ya Rufaa nchini Tanzania, imetupilia mbali rufaa ya Serikali dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kufuta...

Habari Mchanganyiko

Mbunge Nyongo ahoji barabara Maswa-Lalago, serikali yamjibu

  MBUNGE wa Maswa Mashariki (CCM), Stanslaus Nyongo, amehoji lini serikali itaanza ujenzi wa barabara kwa kiwamgo cha lami ya Maswa hadi Lalago....

Habari Mchanganyiko

Mbunge ahoji huduma za afya wazee na watoto, Silinde amjibu

  GRACE Tendega, Mbunge viti maalumu (asiye na chama), ameitaka serikali ya Tanzania, kuona umuhimu wa huduma za afya kwa wazee, watoto na...

Habari Mchanganyiko

Viongozi wa dini wapewa ujumbe

  WATUMISHI wa Mungu, wameitwa duniani siyo kubomoa bali wanatakiwa kujenga ili watu waweze kumcha Mungu na kuachana na maovu. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari Mchanganyiko

Tanesco yaomba radhi, yaeleza huduma za luku zinapopatikana

  SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco), limewaomba radhi wateja wake kutokana na ukosefu wa huduma ya ununuzi wa luku kwa njia ya mtandao...

Habari Mchanganyiko

Wang’aka mauaji mtoto mwenye ulemavu wa ngozi, IGP…

  WIKI mbili baada ya mauaji ya mtoto mwenye ualbino, mkoani Tabora, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kwa kusirikiana na...

Habari Mchanganyiko

Masheikh wa Uamusho: Mahakama kuamua rufaa mashtaka 14

  MAHAKAMA ya Rufaa Tanzania, kesho Jumatano, tarehe 19 Mei 2021, inatarajia kutoa uamuzi wa rufaa iliyowasilishwa na Serikali, kupinga uamuzi wa Mahakama...

Habari Mchanganyiko

Milioni 500 yatengwa kununua vifaa tiba Mufindi

  SERIKALI ya Tanzania imetenga Sh.500 milioni kwa ajili ya kununua vifaa tiba kwa ajili ya Hospitali ya Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa....

Habari Mchanganyiko

Maegesho Kayenzi na Kanyinya Kagera kujengwa

  WIZARA ya Ujenzi na Uchukuzi nchini Tanania, imetenga fedha kwa ajili ya kujenga maegesho ya Kayenzi na Kanyinya. Anaripoti Nasra Bakari, DMC...

Habari Mchanganyiko

Serikali yarejesha ununuzi wa mazao kwa vyama vya ushirika

  SERIKALI ya Tanzania imerejesha mfumo wa zamani wa ununuzi wa mazao ya kimkakati, ili kuondoa changamoto za mfumo wa soko huria. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Wizi mtandaoni: Rais Samia anyooshea kidole usajili laini alama za vidole

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amehoji kwanini uhalifu na wizi mtandaoni unashamiri, wakati kuna mfumo wa kusajili laini za simu kwa kutumia alama...

Habari Mchanganyiko

Panga la Ma-RPC laja

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema atawaondoa Makamanda wa Jeshi la Polisi wa Mikoa (RPC), watakaoshindwa kudhibiti vitendo vya uhalifu, hasa...

error: Content is protected !!