JAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma, amewashauri mawakili na wanasheria, watafute nafasi za kujiajiri wenyewe, badala ya kulalamika kuna uhaba wa...
By Regina MkondeJuly 9, 2021WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema fedha zilizochukuliwa kimakosa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), katika akaunti za benki,...
By Regina MkondeJuly 9, 2021SERIKALI ya Tanzania, imesema itarejesha leseni za wafanyabiashara wa maduka ya kubadili fedha za kigeni, ili waendelee na shughuli zao. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeJuly 9, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzania nchini humo-Chadema kufuatia...
By Hamisi MgutaJuly 8, 2021HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma, nchini Tanzania, limemaliza mgogoro uliodumu kwa zaidi ya miaka 20 kati ya halmashauri hiyo na wafanyabiashara wa...
By Danson KaijageJuly 8, 2021JUMUIYA ya Kikristo Tanzania (CCT), imesema taasisi za dini hazikushirikishwa katika mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa 2020, baada ya kukosa vibali, tofauti na...
By Kelvin MwaipunguJuly 8, 2021JUMUIYA YA Kikristo Tanzania (CCT), imezichambua siku 100 za uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, na kutaja mambo matano yaliyong’arisha siku hizo.Anaripoti Regina...
By Regina MkondeJuly 8, 2021MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Martin Shigella, amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, aipandishe hadhi Manispaa ya Morogoro, ili iwe jiji. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJuly 7, 2021KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amewateua mapadre, Henry Mchamungu na Stephano Musomba, kuwa Maaskofu wasaidizi Jimbo Kuu la Dar es...
By Jonas MushiJuly 7, 2021SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania amesema, wimbi la tatu la maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19), limetua nchini humo. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJuly 7, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, imeagiza Wizara ya Madini, ihakikishe taratibu za uuzaji madini ya Tanzanite, zinafanyika katika mgodi unaozalisha madini hayo, ili...
By Mwandishi WetuJuly 7, 2021BENKI ya Dunia (WB), imekubali kuipatia Serikali ya Tanzania, kiasi cha Sh. 108 bilioni, Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Kanda ya Kaskazini....
By Mwandishi WetuJuly 7, 2021SERIKALI ya Tanzania, imesema zaidi ya Sh. 600 bilioni, zitakazotokana na kodi mpya ya mitandao ya simu, zitatumika katika utekelezaji miradi ya...
By Regina MkondeJuly 7, 2021SERIKALI ya Tanzania, imetoa utaratibu mpya wa kutoa maiti zinazodaiwa gharama za matibabu, hospitalini na kwamba kuanzia sasa kutakuwa na mfumo utakaowezesha...
By Regina MkondeJuly 6, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa Sh.10 milioni kwa wafanyakazi bora wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (Dawasa) wa...
By Jonas MushiJuly 6, 2021WAZIRI wa Maji nchini Tanzania, ametoa siku 30 kwa mamlaka zote za maji, kufanya ukaguzi kwa wateja wote wanaowahudumia ili kupata takwimu...
By Jonas MushiJuly 6, 2021SERIKALI ya Tanzania, iko mbioni kuzindua nembo maalumu itakayotambulisha bidhaa zinazotengenezwa nchini, pamoja na mfumo wa kusambaza taarifa za biashara nchini humo....
By Regina MkondeJuly 5, 2021WAMILIKI wa maduka ya kubadilishia fedha ambao walikuwa wakisubiri kwa hamu majibu ya Bunge kuhusu hatima ya mali na mabilioni ya fedha...
By Mwandishi WetuJuly 5, 2021MBUNGE wa Korogwe Vijijini (CCM), Timotheo Mnzava, anatarajiwa kuburuzwa mahakamani kesho Jumanne, tarehe 6 Julai 2021, kufuatia kuibuka kwa mgogoro katika ndoa...
By Hamisi MgutaJuly 5, 2021SERIKALI ya Tanzania, kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imetoa zaidi ya shilingi bilioni tatu kwa taasisi mbalimbali zinazofanya utafiti katika...
By Mwandishi WetuJuly 5, 2021SERIKALI ya Tanzania imesema imekamilisha muongozo wa kuingiza na kutoa chanjo ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu, inayosababishwa na Virusi vya...
By Regina MkondeJuly 4, 2021WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amesema Jeshi la Polisi limefanikiwa kudhibiti vitendo vya uhalifu wa kutumia silaha ‘ujambazi’...
By Mwandishi WetuJuly 4, 2021MKUU wa Mkoa wa Dodoma (RC), Anthony Mtaka amesema, kwa kipindi cha siku 30 alizoanza kufanya kazi katika ofisi hiyo, amekuwa akipokea...
By Danson KaijageJuly 3, 2021MWANAMKE anayedai kuwa ni mchumba, aliyezaa na kuishi na mbunge wa Korogwe Vijijini (CCM), Timotheo Mnzava, anamtuhumu Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili...
By Hamisi MgutaJuly 3, 2021SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, amewataka wananchi kila mmoja kwenye nafasi yake, kuhakikisha anatumia muda alionao kufanya mambo yatakayoacha alama pindi...
By Mwandishi WetuJuly 2, 2021WIZARA ya Ujenzi na Uchukuzi nchini Tanzania, imesema aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Mhandisi Patrick Mfugale (67), alifariki...
By Mwandishi WetuJuly 2, 2021MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeiomba Serikali iunde kamati ya kitaifa, kwa ajili ya kuratibu na kutangaza shughuli ...
By Regina MkondeJuly 2, 2021MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeiomba Serikali iondoe changamoto za kikodi zinazokabili Asasi za Kiraia nchini (Azaki). Anaripoti...
By Regina MkondeJuly 1, 2021MWILI wa aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Mhandisi Patrick Mfugale, unatarajiwa kuzikwa Jumatatu ya tarehe 5 Julai 2021,...
By Mwandishi WetuJune 30, 2021SERIKALI ya Tanzania imetaja sekta sita zilizo kipaumbele katika kutoa nafasi za ajira nchini. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea)....
By Regina MkondeJune 30, 2021KASSIM Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania, amebainisha mambo saba ambayo wananchi wanapaswa kuyazingatia ili kuchungua tahadhari ya kujikinga na maambukizi ya corona...
By Mwandishi WetuJune 30, 2021WATU zaidi ya 130 wameripotiwa kufariki dunia nchini Canada, baada ya kuathiriwa na joto kali lililoikumba nchi hiyo tangu Jumatatu ya tarehe...
By Mwandishi WetuJune 30, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Mhandisi...
By Mwandishi WetuJune 30, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Idara ya Afrika, Abebe Aemro Selassie kutoka Shirika la Fedha Duniani...
By Mwandishi WetuJune 29, 2021MTENDAJI Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Mhandisi Patrick Mfugale amefariki dunia leo Jumanne, tarehe 29 Juni 2021, jijini Dodoma. Anaripoti...
By Masalu ErastoJune 29, 2021MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu nchini Tanzania (THRDC), umefanya semina ya kuwajengea uwezo wanachama wake wapya 70. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeJune 29, 2021MKURUGENZI wa Idara ya Habari-Maelezo nchini Tanzania, Gerson Msigwa amesema, wako tayari kutoa leseni kwa magazeti yote yaliyofungiwa ili yaanze kufanya kazi....
By Bupe MwakitelekoJune 29, 2021MBUNGE wa Mchinga mkoani Lindi (CCM), Mama Salma Kikwete,ameiomba Serikali ipeleke maji safi na salama kwa wananchi wa jimbo hilo. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJune 29, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema magazeti yote yaliyofungiwa na kumaliza adhabu zao, wapewe leseni ili waendelee na majukumu yao. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJune 28, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, zaidi ya wagonjwa 100 wa maambukizi corona (COVID-19), wamebainika nchini humo na wanaendelea na matibabu....
By Mwandishi WetuJune 28, 2021ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera, Dk. Benson Bagonza, amesema ulimwengu umejaa unafiki,...
By Kelvin MwaipunguJune 28, 2021MAMIA ya watu wameuaga mwili wa aliyekuwa mwandishi na mchambuzi wa masuala ya kisiasa nchini Tanzania, Padri Privatus Karugendo (65). Anaripoti Regina Mkonde, Dar...
By Regina MkondeJune 28, 2021SIKU 100 za uongozi wa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, zinaelezwa kutoa ahueni katika Mshirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) nchini humo....
By Mwandishi WetuJune 28, 2021NDOA ya Mbunge wa Korogwe Vijijini (CCM), Timotheo Mnzava na mchumba wake, Caroline Pallangyo, ambaye ni mtoto wa Mbunge wa Arumeru Mashariki,...
By Mwandishi WetuJune 28, 2021SERIKALI ya Tanzania, imeongeza nguvu kwenye mapambano dhidi ya dawa za kulevya. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Kauli hiyo imetolewa na...
By Mwandishi WetuJune 28, 2021IWAPO Kanuni za Usafirishaji Mizigo Mizito na Kichele za nchini Zambia zitaanza kutumika, zaidi wa Watanzania 30,000 wana hatihati ya kukosa ajira....
By Mwandishi WetuJune 27, 2021MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia wanafanya mazungumzo ya kuwezesha somo la ulipaji kodi...
By Mwandishi WetuJune 27, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewaagiza wakuu wa mikoa na wilaya, kufufua mabaraza ya biashara katika maeneo yao. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...
By Hamisi MgutaJune 26, 2021SHEIKH Farid Had, mmoja wa viongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislam visiwani Zanzibar (JUMIK) alipokuwa gerezani Zanzibar, ameeleza alitolewa...
By Yusuph KatimbaJune 25, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka Watanzania kuchukua tahadhari dhidi ya mlipuko wa tatu wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu,...
By Regina MkondeJune 25, 2021