Saturday , 27 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Kimbunga cha Keneth: Mtwara, Lindi yapumua

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imewataka wananchi wa mikoa ya Lindi na Mtwara kuendelea na shughuli zao, huku ikiwatahadharisha kufuatilia utabiri...

Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli asamehe wafungwa 3,530

RAIS John Magufuli leo tarehe 26 Aprili 2019, ametoa msamaha kwa wafungwa 3, 530 pamoja na wenye maradhi mbalimbali. Anaripoti Faki Sosi …...

Habari Mchanganyiko

Laini za simu kuzimwa Desemba 31

WATU ambao hawatasajili laini zao za simu kwa alama za vidole, hawatoweza kuzitumia baada ya tarehe 31 Desemba 2019. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....

ElimuHabari Mchanganyiko

HakiElimu yapiga yowe bajeti ya elimu

HATUA ya Bajeti ya Elimu kupungua siku hadi siku, imelalamikiwa na wadau wa elimu nchini. Anaripoti Faki Sosi…(endelea). Akizungumza na waandishi wa habari...

Habari Mchanganyiko

Serikali yatoa Bil 688 mradi wa umeme Rufiji

SERIKALI imetoa kiasi cha Shilingi 688.6 bilioni, kwa ajili ya ujenzi wa mradi wa umeme katika maporomoko ya Mto Rufiji. Anaripoti Regina Mkonde …...

Habari MchanganyikoTangulizi

Madaktari Muhimbili wahaha kumuokoa Mariam

MARIAM Rajab Mimbe (25), anayesumbuliwa na kidonda kikubwa kwenye mgongo, upande wake wa kulia, anaendelea vizuri na sasa yuko njiani kuelekea katika hospitali...

Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli ateua mwenyekiti mpya TASAC

MKUU wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) Profesa Tadeo Andrew Satta, ameteuliwa na Rais John Magufuli kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi...

Habari Mchanganyiko

Raia wa Nigeria, Lativia wadakwa na dawa za kulevya

JESHI la Polisi, Kitengo cha Kuzuia Kupambana na Dawa za Kulevya, limewatia mbaroni raia wawili wa Nigeria na Raia wawili wa Walativia wakiwa na kilogram...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mwakyembe atonesha vidonda vya Azory

WAZIRI wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, amepuuza kilicho cha muda mrefu cha wadau wa habari nchini cha kutaka kuelezwa...

Habari Mchanganyiko

Vituo vya ukaguzi mabasi ya umma vyaandaliwa

SERIKALI kupitia Jeshi la Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani limeandaa utaratibu wa kuwa na vituo maalum vya ukaguzi vya mabasi ya umma. Anaripoti Danson...

Habari Mchanganyiko

Maaskofu waicharukia serikali

MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Frederick Shoo, amesema ya kuwa kuna watu duniani leo wanaotumia nguvu kuuficha ukweli,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mchungaji amvaa Spika Ndugai

MWANGALIZI wa Makanisa ya Baptist mkoani Dodoma, Antony Mlyashimba, amemtaka Spika wa Bunge, Job Ndugai kutubu na kisha kukaa meza moja na Mkaguzi...

Habari Mchanganyiko

Rushwa bado tatizo nchini-Mchungaji

ASKOFU wa kanisa la Anglikana Dayosisi ya Kati, Dk. Dikson Chilongani amesema kuwa licha ya kuwa serikali inapambana na rushwa lakini hali hiyo...

Habari Mchanganyiko

Askofu Bagonza awataka waumini kuwa makini

DK. Benson Bagonza, Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, mkoani Kagera, amewataka waumini na wananchi kuwa makini...

Habari Mchanganyiko

UBA: Tunajivunia mafanikio Tanzania

BENKI ya UBA nchini imeeleza kuwa, kwa sasa wanakwenda kwa wananchi baada ya mafanikio makubwa ya kufanya kazi na serikali. Anaripoti Faki Sosi …...

Habari Mchanganyiko

Tapeli wa ‘Tuma kwenye namba hizi’ matatani

MAMLAKA ya  Mawasiliano Tanzania ( TCRA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi limemfikisha kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Fadhili Mahenge anayedaiwa kumiliki...

Habari Mchanganyiko

Matapeli waliotumia jina la Mke wa Magufuli kizimbani, wakosa dhamana

WATU wanne wamefikishwa katika Mahakama Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kutumia jina la Mke wa Rais, John Magufuli, Janneth Magufuli kutapeli watu....

Habari Mchanganyiko

Uhuru vyombo vya habari wahojiwa bungeni

MALALAMIKO ya kuminywa kwa uhuru wa vyombo vya habari nchini, yameibuka tena leo tarehe 18 Aprili 2019 bungeni jijini Dodoma. Anaripoti Danson Kaijage,...

Habari Mchanganyiko

Sh. 17.89 Bil kujenga mradi wa maji Mwanza

JUMLA ya Sh. 17.89 bilioni zimetolewa na Serikali,  kupitia mkopo wa masharti nafuu kutoka Benki ya Uwekezaji ya Ulaya (EIB) kwa ajili ya...

Habari Mchanganyiko

AG atoa waraka kuwaonya Ma-DC, RC

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG), Profesa Adelardus Kilangi, ametoa waraka kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya kukazia marufuku ya wateule hao wa Rais...

Habari Mchanganyiko

Mtumishi anaswa akiuza dawa za serikali

MTUMISHI wa Afya anayefahamika kwa jina la Sarah, amenaswa akiuza dawa za serikali katika duka lake la dawa za binadamu (Pharmacy) lililoko katika...

Habari Mchanganyiko

Polisi watunukiwa zawadi, wajane wakumbukwa

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limetoa motisha kwa askari wake waliofanya vizuri kwenye majukumu yao ya kulinda wananchi na...

Habari Mchanganyiko

Papa Francis ambusu miguu Salvar Kiir, ataka aache mapigano

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amempigia magoti Rais wa Sudani Kusini, Salvar Kiir akimsihi kiongozi huyo kuachana na mapigano katika taifa...

Habari Mchanganyiko

Mahakama yamtia hatiani Bosi wa Vodacom 

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu kwenda jela mwaka mmoja au kulipa faini Sh. 5.8 bilioni, Hisham Hendi, Mkurugenzi  Mtendaji wa kampuni ya...

Habari Mchanganyiko

Mke wa Robert Kisena kuburuzwa kizimbani

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru inatarajia kumburuza kortini Florencia Mashauri ambaye ni mke wa Robart Kisena, Mkurugenzi wa Kampuni ya Usafisirishaji...

Habari Mchanganyiko

Ziara ya Rais Magufuli yang’oa kigogo Ruvuma

RAIS John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma, Dk. Oscar Mbyuzi. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Taarifa...

Habari Mchanganyiko

Change Tanzania wamtetea CAG

IDADI ya makundi yanayojitokeza kumtetea Profesa Mussa Assad, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) dhidi ya azimilo la Bunge la...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mawakili TLS wamtii Lissu

PENDEKEZO la Tundu Lissu, aliyekuwa Rais wa Chama cha Mawakili wa Tanganyika (TLS) kwamba, Dk. Rugemeleza Nshala anafaa kuwa rais wa chama hicho,...

Habari Mchanganyiko

Njooni mnunue korosho-Serikali

WIZARA ya Viwanda na Biashara kupitia taasisi yake ya Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), imewataka wafanyabiashara, taasisi za umma na binafsi...

Habari Mchanganyiko

Anayedaiwa kutumia jina la Katibu Mkuu CCM kutapeli akamatwa

JESHI la Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata Wilfred Welandumi kwa madai ya kutumia jina la Dk. Bashiru Ally, Katibu Mkuu...

Habari Mchanganyiko

Serikali yafungua mjadala Sheria ya Vyombo vya Habari

SERIKALI ya Jamhuri imeeleza kuwa, imefungua mlango wa majadiliano kuhusu kubadili Sheria ya Vyombo vya Habari ya Mwaka 2016. Anaripoti Faki Sosi … (Endelea)....

Habari MchanganyikoMpya

Dott Service yaingia ‘anga’ za JPM

RAIS John Magufuli ameicharukia kampuni ya ukandarasi ya Dott Service, kwa kuchelewa kumaliza utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa barabara ya Mtwara –...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

CAG ajibu, atahadharisha Bunge

SIKU moja baada ya Bunge la Jamhuri kuazimia kutofanya kazi na Profesa Mussa Assad, Mthibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),...

Habari Mchanganyiko

TFS watimua wafugaji ndani ya hifadhi Ikowa

MENEJA wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania, Kanda ya Kati, Mathew Kiondo ametoa siku mbili kwa wafugaji wanaolisha mifugo yao katika Msitu wa...

Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli atunuku Kamishisheni Maafisa 146 wa JWTZ

RAIS John Magufuli amewatunuku Kamisheni Maafisa wapya 146 wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kundi la 65/18. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Hafla...

Habari Mchanganyiko

Kituo cha kuzalisha umeme Mlandizi chateketea

KITUO cha kuzalisha na kusambaza umeme cha Mlandizi mkoani Pwani, kimteketea kwa moto leo tarehe 30 Machi 2019. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Akizungumza na MwanaHALISI...

Habari Mchanganyiko

Kigogo wa TAKUKURU aburuzwa kizimbani kwa uhujumu uchumi

TAASISI ya Kuzuiya na Kupambana na Rushwa  (Takukuru)  imemburuza kortini Kulthum Mansoor, Mkurugenzi wa Taasisi hiyo wa Mipango, Ufuatiliaji na Tathimini  kwa kudaiwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Twiga wa ATCL ‘amnogesha’ JPM, amwaga mamilioni

KAZI ya upakaji rangi, sambamba na uchoraji wa picha ya Twiga kwenye ndege ya viongozi wa serikali iliyotolewa na Rais John Magufuli kwa...

Habari Mchanganyiko

Mahakama yabatilisha hukumu ya Bob Chaha Wangwe

MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Dar es Salaam imebatilisha hukumu ya mtoto wa aliyekuwa Mbunge wa Tarime, marehemu Chacha Wange- Bob Chacha Wangwe. Anaripoti Faki...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Mdhamini wa Lissu afunguka

ROBERT Katula, mdhamini wa kwanza wa mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu, ametaja sababu tatu kubwa za kuomba kujitoa kwenye udhamini wa...

Habari Mchanganyiko

UNICEF: Cheti cha kuzaliwa ni ulinzi kwa mtoto

MKUU wa Kitengo cha ulinzi wa Mtoto kutoka UNICEF, Maud  Droogleever Fortuyn amesema kuwa usajili na utoaji vyeti vya kuzaliwa kwa watoto chini...

AfyaHabari Mchanganyiko

Watanzania 269 wanahisiwa kuwa na Kifua Kikuu

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema kuwa katika kila Watanzania 100,000, kati yao 269 wanahisiwa kuwa...

Habari Mchanganyiko

Makonda achimba mkwara DC, DEC

PAUL Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ametoa siku tano kwa watendaji wa halmashauri zilizoko jijini humo, kuanza utekelezaji wa miradi...

Habari Mchanganyiko

Zitto, Mwigulu Nchemba, waparurana

MBUNGE wa Iramba (CCM), Mwigulu Nchemba, amemvaa  mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Zuberi Kabwe, kwa kile alichokiita, “kukosa utu.” Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Tanzania yatangaza fursa za Utalii kwa wawekezaji

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Professa. Adolf  Mkenda, amesema serikali imeanza mipango na mikakati itakayosaidia wizara hiyo kuongeza ukusanyaji wa...

Habari Mchanganyiko

Mashine feki za EFD zaitesa TRA

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) inateswa na wafanyabiashara wasio waaminifu na wanaotumia mashine feki za kielektroniki za kukusanyia mapato (EFD). Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Charles...

Habari Mchanganyiko

Dodoma wajiandaa kumpokea Rais Magufuli kwa mabango

WAKAZI wa Kata ya Mtumba, jijini Dodoma wanajiandaa kumpokea Rais John Mgufuli kwa mabango yenye malalamiko baada ya halmashauri ya jiji hilo kushindwa...

Habari Mchanganyiko

Waziri Majaliwa: Serikali inaendelea kupambana na mafisadi 

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali inaendelea kupambana na wala rushwa pamoja na mafisadi wote ambao walikuwa wanakula fedha za miradi ya maendeleo...

Habari Mchanganyiko

Sheikh Dodoma: Vijana changamkieni fursa Mtumba

SHEIKHE wa Mkoa wa Dodoma, Mustapha Rajabu amewataka vijana kutumia nguvu zao wakati serikali ikijenga mji wa kiserikali katika eneo la Mtumba, jijini...

Habari Mchanganyiko

Binti aondolewa kizazi kwa siri, madaktari washindwa kujieleza

RAHAEL Alaay (25) ameiomba serikali kupitia Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kuingilia kati mgogoro wake na...

error: Content is protected !!