Friday , 29 March 2024

Habari Mchanganyiko

Habari MchanganyikoTangulizi

Mahakama yamwachia huru Tido Mhando

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemwachia huru aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Tido Mhando leo tarehe 25 Januari, 2019...

Habari Mchanganyiko

Taratibu za kimila zatumika kutafuta wauaji

MAELFU ya wananchi wameshiriki katika mazishi ya Afisa Elimu Maalum wa Halmashauri ya wilaya ya Karatu, Martin Goi, aliyeuawa kwa kupigwa risasi na...

Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli asikia kilio ujenzi Msikiti UDOM

RAIS John Magufuli amesikia kilio kilichofikishwa na Sheikh Mussa Kundecha, kuhusu kitendo kilichofanywa na uongozi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) cha kuvunja...

Habari Mchanganyiko

Viongozi wa dini waonywa

BAADHI ya viongozi wa Dini ambao wamekuwa wakiwaaminisha na kuwataka waumini wao kupokea Baraka zitokanazo na miujiza ya Mungu bila kufanya kazi wameonywa...

Habari MchanganyikoTangulizi

IGP Sirro amnyoosha Waziri Lugola  

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IJP), Simon Sirro, amefanya mabadiliko madogo kwa makamanda watatu wa mikoa wa polisi. Miongoni mwa waliobadilishwa, ni...

Habari Mchanganyiko

Watoto waishio mazingira magumu waiangukia Serikali

WATOTO wanaolelewa kwenye vituo jijini Dodoma wameiomba serikali kudhibiti taasisi,mashirika na watu binafsi wanaojihusisha na utapeli wa kivuli cha watoto yatima na kujipatia...

Habari Mchanganyiko

Vijana waruka ukuta wa Mirerani kuchimba Tanzanite’

FATUMA Kikuyu, mchimbaji mdogo wa madini kutoka mgodi wa Tanzanite ulioko Mirerani mkoani Manyara amesema kuna baadhi ya vijana wanalazimika kuruka ukuta wa...

Habari Mchanganyiko

Viongozi wa Dini wapewa somo

ASKOFU wa Jimbo la Dodoma kanisa la Mlima wa Moto,Silvanusi Komba amewataka viongozi wadini kuhakikisha wanawafundisha waumini wao juu ya kufanya  kazi kwa...

Habari Mchanganyiko

Bilionea wa Uingereza abambikiwa watoto watatu

MFANYABIASHARA mashuhuri nchini Uingereza na ambaye anaogelea kwenye utajili wa mamilioni ya dola, Richard Mason (54), “ameingizwa chaka” na mkewe, baada ya kusingiziwa...

Habari Mchanganyiko

Herbinder Seth, Rugemarila waiangukia mahakama

TANGU Julai 2017, mpaka leo bado upelelezi haujakamilika, tunaomba upelelezi ukamilike ili tujue mwisho wake ni nini. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Hayo...

Habari Mchanganyiko

Mpakistani kizimbani kwa rushwa  

MUHAMMEDI Hasnain Hyderi, Raia wa Pakistan amepandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Slaam kwa tuhuma za rushwa. Anaripoti Faki Sosi…(endelea). ...

Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi kwa Kenyatta

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli ametuma salamu za pole kwa Rais wa Jamhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta kufuatia...

Habari Mchanganyiko

Vigogo wawili wasakwa kwa ununuzi haramu wa dhahabu

NAIBU Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo ameagiza Jeshi la Polisi kuwakamata wafanyabiashara Mansoor Almasi na Jacob Mwapinga wanaotuhumiwa kufanya ununuzi haramu wa madini...

Habari Mchanganyiko

Lugola awafyeka Ma-RPC watatu, wengine wanafuata

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola jana ametangaza kutengua uteuzi wa Wakuu wa Polisi wa Mikoa (Ma-RPC) watatu kwa sababu...

Habari Mchanganyiko

Wiki ya nenda kwa Usalama yafutwa

SERIKALI kupitia Baraza la taifa la usalama barabarani, limetangaza kuifuta sherehe za wiki ya nenda kwa usalama barabarani, iliyokuwa ikifanyika kila mwaka. Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mkapa atikiswa, Benk M yafungwa

RAIS mstaafu Benjamin William Mkapa, ameaza “kuonja joto ya jiwe,” baada ya serikali kupitia Benki Kuu ya taifa (BoT), kuifuta rasmi benki ya...

Habari Mchanganyiko

Masauni awanyoshea kidole kampuni za Ulinzi

SERIKALI imesema kuwa inazo taarifa kuwa yapo baadhi ya makampuni binafsi ya ulinzi ambayo yanajihusisha na vitendo vya uhalifu nchini. Anaripoti Danson Kaijage,...

Habari Mchanganyiko

Waziri Mkuu kufungua mkutano wa walinzi

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kufungua mkutano mkuu wa kazi wa chama cha sekta binafsi ya Ulinzi nchini (TSIA) leo jijini Dodoma unaolenga...

Habari Mchanganyiko

Kitilya na wenzake sasa huru, wakamatwa tena

BAADA ya kusota mahabusu ya Magereza kwa miaka mitatu, aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Harry Kitiyla na wenzake, hatimaye...

Habari Mchanganyiko

Mfumuko wa bei waongezeka kwa 3%

MFUMUKO wa bei wa taifa kwa mwaka ulioishia mwezi Disemba 2018 umeongezeka hadi asilimia 3.3 kutoka asilimia 3.0 kwa mwaka ulioishia mwezi Novemba 2018....

Habari MchanganyikoTangulizi

Tanzania wasaka soko la korosho Algeria

SERIKALI imefanya mazungumzo na Algeria kuhusu masuala ya diplomasia ya kiuchumi, ambapo nchi hiyo imeonyesha nia ya kutaka kununua korosho za Tanzania. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

TUCTA wampongeza Rais Magufuli, wamkumbusha kilio cha mshahara

SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limetoa shukrani kwa Rais John Magufuli huku likiambatanisha maombi yake sita ikiwemo kuangalia upya kikokotoo cha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Viwanja 14 kuuzwa kwa mnada Dodoma

HALIMASHAURI ya  Jiji la Dodoma linakusudia kuuza viwanja  maalum 14 kwa njia ya mnada utafanyika siku ya Alhamisi 10 Januari mwaka huu. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Bil. 1.7 zakosa mkopaji Dodoma

MKURUGENZI wa Jiji la Dodoma Godwin Kunambi amewataka vijana, akina mama na watu wenye ulemavu kuanzisha vikundi na kuweza kupatiwa mikopo kwa ajili...

ElimuHabari Mchanganyiko

Abdul Nondo arudishwa rasmi UDSM

CHUO Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimemrudishia hadhi ya uanafunzi Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi (TSNP), Abdul Nondo baada ya kuondolewa chuoni...

Habari Mchanganyiko

Wajasiriamali waanika kinachoua VICOBA

WAJASIRIAMALI wilaya ya Temeke mkoa wa Dar es Salaam, wameeleza sababu zinazopelekea vikundi vya kuweka akiba na kukopa mikopo kufa na kuacha maumivu...

Habari Mchanganyiko

Nyongeza kahawa ya Karagwe ni TZS 106/= kwa kilo

CHAMA cha Ushirika wa Wakulima wa Kahawa Karagwe na Kyerwa (KDCU) kinadaiwa kuwatangazia wakulima kwamba watapata malipo ya nyongeza mwezi huu wa Januari...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mchungaji: Mkristo kukwepa kodi ni dhambi kubwa

MCHUNGAJI Kiongozi wa kamisa la Evangelisim Assembless Of God Tanzania (EAGT) Ipagala, Evanci Chande amewaonya wakristo wafanyabiashara ambao wamekuwa wakikwepa kulipa kodi ya...

AfyaHabari Mchanganyiko

Watoto 5,500 watazaliwa 2019, UNICEF wajipanga kwa usalama wao

SHIRIKA la Wototo Duniani (UNICEF) limeeleza kuwa siku ya mwaka mpya kutazaliwa watoto 395,072 ambapo nchini Tanzania watazaliwa watoto 5,500 ambao ni sawa...

Habari Mchanganyiko

Mwalimu aliyemfungia mtoto kabatini azidi kubanwa

MWALIMU ya wa shule ya msingi Medeli ya Jijini Dodoma Anita Kimako (33) mkazi wa Area ‘C’ anayedaiwa kukifungia  kabatini kichanga  cha miezi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kiza kinene kimeikumba nchi

GIZA limetanda katika maeneo yote yanayopata umeme kupitia gredi ya taifa jijini Dar es Salaam na mikoa mingine nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

Habari Mchanganyiko

Jafo aagiza waliotafuna Bil 2.9 Ulanga wakamatwe

OFISI ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa (Tamisemi) imebaini matumizi mabaya ya fedha za serikali Sh. 2.98 bilioni katika halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

Madiwani Chamwino watakiwa kuwakumbuka walemavu

MADIWANI wa Halmashauri ya Chamwino wametakiwa kuhakikisha majengo yanayojengwa yanakuwa na miundombinu rafiki kwa ajili ya watu wenye ulemavu. Anaripoti Dany Tibason, Dodoma...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wazazi wa darasa la saba, wawachongea M-RC, DC kwa JPM

BAADHI ya wazazi ambao watoto wao wamemaliza darasa la saba na kufaulu mitihani yao na kukosa nafasi za kujiunga na kidato cha kwanza...

Habari Mchanganyiko

Sekta binafsi yapigilia msumali sakata la Fastjet

MKURUGENZI wa Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TPSF), Godfrey Simbeye ametoa neno kuhusu madai yaliyotolewa na baadhi ya watu hivi karibuni, ya kwamba...

Habari Mchanganyiko

Wakulima Dodoma wapewa somo

WAKULIMA wa Mkoa wa Dodoma wametakiwa kulima mazao ambayo yanaendana na hali ya hewa ili kuweza kupata mazao mengi. Anaripoti Dany Tibason, Dodoma...

Habari MchanganyikoTangulizi

Fastjet, serikali sasa hapatoshi

SIRI kuu juu ya kampuni ya ndege ya Fastjet, kusitisha shughuli zake za usafirishaji wa abiria nchini, imefichuka. Anaripoti Regina Mkonde …. (endelea)....

Habari MchanganyikoTangulizi

Nusura ya MV. Nyerere kutokea Mafia

IKIWA ni miezi minne tangu Tanzania kupoteza zaidi ya watu 200 katika Ziwa Victoria kwenye ajali ya MV. Nyerere, watu 75 wamenusurika kufa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Makonda: Bila Neno la Mungu, Magereza, polisi hawatatosha

PAUL Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amesema, Magereza na Polisi hawatatosha iwapo Neno la Mungu halitafanya kazi. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea)....

Habari MchanganyikoTangulizi

Ujumbe wa manung’uniko, kilio kusomwa makanisani

LEO si Sikukuu ya Krismasi ambapo waumini Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) zaidi Mil 6.5 wanatarajia kusomewa waraka huo uliobeba manung’uniko,...

Habari Mchanganyiko

Sumatra wafanikiwa kumaliza tatizo la usafiri Ubungo

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra) imefanikiwa kumaliza tatizo la usafiri wa abiria waoendao mikoani katika kituo cha...

Habari Mchanganyiko

Ndugu wa Rostam Aziz afutiwa mashitaka

NDUGU wa mfanyabiashara mashuhuri nchini, Rostam Aziz, anayefahamika kwa jina la Akram Aziz, amefutiwa mashitaka na serikali. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Akram...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kikokotoo pasua kichwa kila kona

CHAMA cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU) wametoa tamko la kuunga mkono msimamo wa TUCTA kuhusu mkanganyiko Kikokotoo cha mafao ya...

Habari Mchanganyiko

Wakulima waomba mbegu za muda mfupi

JUKWAA la Wakulima wanawake wilayani Chamwino (JUWWACHA) limeishauri serikali kutilia mkazo matumizi ya mbegu za muda mfupi ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia...

Habari Mchanganyiko

Viongozi wa dini watakiwa kulikomboa Taifa

KIONGOZI wa Kanisa la Jehova Mercy, lenye makao yake makuu Jijini Dodoma mtaa wa Swaswa Halisi, Prophet Richard Magenge amewataka viongozi wa Kiroho...

Habari Mchanganyiko

Serikali kutoa mafunzo ya stakabazi ghalani

HALMASHAURI ya wilaya ya Morogoro ina mpango wa kutoa elimu ya mfumo wa stakabadhi mazao ghalani kwa wakulima wilayani humo katika msimu wa...

Habari Mchanganyiko

Mchungaji Kenya ahukumiwa miaka 75 jela

ASKOFU katika kaunti ya Kisumu nchini Kenya, Joseph Agutu amehukumiwa kifungo cha miaka 75 jela baada ya mahakama kumkukuta na hatia ya kuwabaka...

Habari Mchanganyiko

Alichokisema Kikwete baada ya Mwana FA kuzindua pafyumu

RAIS Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amempongeza mwanamuziki mkongwe wa Bongo Fleva, Hamis Mwinjuma ‘MwanaFA’ kwa kuanzisha bidhaa yake...

Habari Mchanganyiko

Mpina awatimua wakaguzi mifugo Kituo cha Kibaha

WATUMISHI katika Kituo cha Ukaguzi Kibaha mkoa wa Pwani, wameondolewa kazini na serikali kutokana na kushindwa kusimamia rasilimali za sekta ya mifugo na...

Habari Mchanganyiko

Madiwani wawashukia maafisa kilimo Chamwino

MADIWANI wa Halmashauri ya Chamwino wameitaka idara ya kilimo kuhakikisha inawahisha mbegu bora na pembejeo za kilimo kwa ujumla kwa kuendana na msimu...

error: Content is protected !!