HABARI MCHANGANYIKO Dodoma watembelea miradi ya gesi asilia kwa teknolojia ya uhalisia pepe August 6, 2024 Erasto Masalu MAONYESHO ya Kimataifa ya Nanenane yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma yamekuwa ni sehemu ya wananchi kujionea utekelezaji wa miradi mbalimbali katika sekta ya nishati ikiwemo miradi ya gesi…
HABARI MCHANGANYIKO Wakulima watakiwa kuchangamkia fursa za kibenki kuchangia pato la Taifa August 6, 2024 Erasto Masalu WAKULIMA nchini wameshauriwa kuchangamkia fursa mbalimbali zinazotolewa na taasisi za kilimo pamoja na kibenki zinazolenga kuwawezesha kukuza mnyororo wa thamani katika sekta na hatimae kuchangia pato la taifa. Anaripoti Mwandishi…
HABARI MCHANGANYIKO TPA yawavutia wengi maonesho nanenane Dodoma August 6, 2024 Erasto Masalu MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imesema inayachukulia maonesho ya wakulima maarufu kama ‘Nane nane’ kwa uzito wa kipekee kwani mbali ya kutoa fursa kwa wakulima, wafugaji, wavuvi na…
HABARI MCHANGANYIKO Polisi wahoji maswali 2 watuhumiwa ubakaji wakidakwa August 6, 2024 Erasto Masalu WAKATI Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni akithibitisha kukamatwa kwa watuhumiwa wa ubakaji na ulawiti wa msichana anayedaiwa mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam, Jeshi…
HABARI MCHANGANYIKO Wakazi Handeni wavutiwa na matumizi ya gesi, wampongeza Rais Samia August 6, 2024 Erasto Masalu WAKAZI wa vijiji vya Msomera na Mkababu wilayani Handeni, Mkoani Tanga wameeleza kuridhishwa na ufanisi wa kampeni ya kumtua mama mzigo wa kuni kichwani iliyoasisiwa na Rais Samia Suluhu kufuatia…
HABARI MCHANGANYIKO TANGULIZI Rais Samia aagiza kiwanda cha tumbaku kuchangia bima ya afya August 6, 2024 Erasto Masalu RAIS Samia Suluhu Hassan ameuagiza uongozi wa Kiwanda cha Sigara cha Serengeti (SCC) na Kiwanda cha kuchakata Tumbaku (MTPL) mkoani Morogoro kuchangia mpango wa Taifa wa bima ya afya kwa…
HABARI MCHANGANYIKO Wanasheria ziara ya Rais Samia waendelea kusaidia wananchi wenye shida August 5, 2024 Erasto Masalu WANASHERIA wanaoambatana na Rais Samia Suluhu Hassan kwenye ziara yake ya mkoani Morogoro wameendelea kuwa msaada kwa wananchi kwa kutoa elimu ya sheria na kuchukua changamoto zao kwaajili ya kuzifanyia…
HABARI MCHANGANYIKO TANGULIZI Mwabukusi: TLS tunafuatilia binti aliyetendewa ukatili wa kingono August 5, 2024 Erasto Masalu RAIS wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi amelaani kitendo cha udhalilishaji na ukatili wa kijinsia aliofanyiwa binti mmoja mkazi wa Yombo Dovya huku akirekodiwa video na wanaume waliokuwa…
HABARI MCHANGANYIKO Jotoardhi kunufaisha kilimo, ufugaji, wavuvi August 5, 2024 Erasto Masalu MJEOKEMIA Mwandamizi wa Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC), Ariph Ole Kimani amesema uzalishaji wa nishati jadidifu ya Jotoardhi unaondelea kufanyika nchini utaongeza mnyororo wa thamani kwenye sekta ya kilimo,…
HABARI MCHANGANYIKO Ziara ya Rais Samia neema kwa wenye matatizo ya kisheria Morogoro August 4, 2024 Erasto Masalu TIMU ya wanasheria wa kampeni ya Mama Samia Legal Aid imeambatana na Rais Samiua Suluhu Hassan kwenye ziara yake ya mkoani Morogoro kwaajili ya kusikiliza na kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili…